Twaha Mwaipaya
Twaha Mwaipaya
March 1, 2025 at 06:08 AM
Leo amezaliwa mwanangu mwenye alama ya mapambano yangu, wakati mama yake akiwa mjamzito mimi nilikuwa gerezani Singida na Isanga Dodoma, ni mtoto jasili, mtoto anaehoji, ni mtoto mwenye akili nyingi, namuomba Mungu amkuze katika kimo na akili. Happy birthday my Daughter Precious (Syana).
❤️ 🙏 😮 11

Comments