Salafi Da'wah East Africa
Salafi Da'wah East Africa
February 6, 2025 at 03:39 AM
Imepokewa kutoka kwa Ammar bin Yaasir -Allah awe radhi naye- alisema: *Atakayefunga siku ambayo watu wana shaka nayo (siku ya thelathini- Sha'baan) basi amemuasi Abal Qasim (Mtume) ﷺ* 📗Sahih An -Nasaai 2187 ════ ❁✿❁ ════ *Salafi Da'wah East Africa (Salafi Da'wah Afrika Mashariki)* https://whatsapp.com/channel/0029VabMSx07tkj3R6Dou41f
❤️ 3

Comments