Salafi Da'wah East Africa
Salafi Da'wah East Africa
February 27, 2025 at 06:55 AM
Alisema Mtume ﷺ: _*Asiyeacha maneno ya haram na kuifanyia kazi haram (matendo yaliyoharamishwa), basi Allah hana haja ya kuacha kwake chakula chake na kinywaji chake*_ 📗Sahihul Bukhari 1903 ════ ❁✿❁ ════ *Salafi Da'wah East Africa (Salafi Da'wah Afrika Mashariki)* https://whatsapp.com/channel/0029VabMSx07tkj3R6Dou41f

Comments