SITTA SPORTS ARENA
                                
                            
                            
                    
                                
                                
                                February 10, 2025 at 09:11 AM
                               
                            
                        
                            *DODOMA JIJI WAPATA AJARI⚽*
*Basi lililobeba wachezaji wa timu ya mpira wa miguu ya Dodoma Jiji limepinduka na kutumbukia mtoni katika eneo la Nangurukuru mkoani Lindi likiwa na wachezaji.*
SITTA SPORTS UPDATES ⚽