Nurul Kitab Wa Sunnah
February 9, 2025 at 07:08 AM
*SWALI NA JAWABU KATIKA HUKUMU ZA SWAUMU*
*SWALI LA 36*
•┈┈••••○○❁🌷❁○○••••┈┈•
*[HUKUMU MBALIMBALI ZA MWENYE HEDHI NA NIFASI ]*
س: *امرأة تقول: إني منذ وجب علي الصيام، أصوم رمضان، ولكني لا أقضي الأيام التي أفطرها بسبب الدورة الشهرية، ولجهلي بعدد الأيام التي أفطرتها فإني أطلب إرشادي إلى ما يجب علي فعله الآن؟*
Swali: *Tangu nimewajibika kufunga Ramadhani ninafunga, lakini sijawahi kulipa masiku ambayo nimeacha kufunga kwa sababu ya mzunguko wangu wa mwezi (hedhi), na wala sijui (mpaka sasa) idadi ya siku ambazo nilifungua, tafadhali nielekeze nifanye nini hivi sasa?*
ج *على هذه المرأة أن تتوب إلى الله ﷻ مما صنعت، وأن تستغفر، وأن تتحرى الأيام التي تركتها بقدر استطاعتها فتقضيها، وبهذا تبرأ ذمتها، ونرجو لها أن يقبل الله توبتها.*
Jawabu: *Kwanza ni wajibu kwa mwanamke huyu atubu kwa Allaah na aombe msamaha kwa yale aliyoyafanya, na afuatilie siku ambazo ameacha kufunga kadri awezavyo kisha azilipe, na kufanya hivi itakuwa jukumu lake limeondoka, na tunatumai kwamba Allaah atakubali toba yake (atamsamehe).*
*كتاب؛ 📚سؤال وجواب في أحكام الصيام ❪تأليف الفضيلة الشيخ محمد بن صالح العثيمين❫ - رحمه الله تعالى*
•┈┈••••○○❁🌷❁○○••••┈┈•
Mfasiri: Sheikh *Abuu Halima Arafat mahmoud* - Allah amhifadhi
Penda 👍 Fuata 🔔 Sambaza 🖇️
•┈┈••••○○❁🌷❁○○••••┈┈•
Sambaza na ungana na chaneli zetu:-
╭── ••⇣⇣🔴 *YOUTUBE* 🔴
╰┈➢ https://www.youtube.com/@Nurul_Kitab_Wa_Sunnah
╭── ••⇣⇣🪀 *WHATSAPP* 🪀
╰┈➢ https://whatsapp.com/channel/0029Va7tZ1x3gvWdMZi3cc2d
╭── ••⇣⇣🔵 *TELEGRAM* 🔵
╰┈➢ https://t.me/Nurul_Kitab_Wa_Sunnah
╭── ••⇣⇣🔘 *FACEBOOK* 🔘
╰┈➢ https://www.facebook.com/profile.php?id=61559935071055
╭── ••⇣⇣🔴 *INSTAGRAM* 🔴
╰┈➢ https://instagram.com/nurul_kitab_wa_sunnah
╭── ••⇣⇣⚫ *TIKTOK* ⚫
╰┈➢ https://www.tiktok.com/@nurul_kitab_wa_sunnah
@Nurul_Kitab_Wa_Sunnah
🥰
1