Nurul Kitab Wa Sunnah
Nurul Kitab Wa Sunnah
February 19, 2025 at 04:04 AM
*SWALI NA JAWABU KATIKA HUKUMU ZA SWAUMU* *SWALI LA 41* •┈┈••••○○❁🌷❁○○••••┈┈• *[KULIPA SAUMU]* س: *ما حكم من مات وعليه قضاء من شهر رمضان؟* Swali: *Ni ipi hukumu ya mtu aliyekufa hali ya kuwa anawajibika kulipa siku alizoacha katika Ramadhani?* ج: *إذا مات وعليه قضاء من شهر رمضان؛ فإنه يصوم عنه وليه، وهو قريبه لحديث عائشة ا أن النبي ﷺ قال:* Jawabu: *Iwapo mtu amekufa na hali ya kuwa anadaiwa siku za kufunga katika Ramadhani, basi walii wake (jamaa wa karibu) atafunga kwa niaba yake, kwa hadithi ya Aisha (Allaah amridhie), kwamba Mtume (Swala na Salamu zimshukie) amesema:* *«من مات وعليه صيام؛ صام عنه وليه»* *[Mwenye kufa hali ya kuwa ana deni la saumu (ya wajibu), basi walii wake atafunga kwa niaba yake].* *(( أخرجه البخاري (١٨٥١) ، ومسلم (١٥٣-١١٤٧))،* *((Bukhari (1851) na Muslim (153 na 1147)),* *فإن لم يصم وليه؛ أطعم عنه عن كل يوم مسكينا.* *Na kama hakufunga basi atoe fidia kwa kumlisha kila masikini mmoja kwa kuzingatia idadi ya masiku aliyoacha.* *كتاب؛ 📚سؤال وجواب في أحكام الصيام ❪تأليف الفضيلة الشيخ محمد بن صالح العثيمين❫ - رحمه الله تعالى* •┈┈••••○○❁🌷❁○○••••┈┈• Mfasiri: Sheikh *Abuu Halima Arafat mahmoud* - Allah amhifadhi Penda 👍 Fuata 🔔 Sambaza 🖇️ •┈┈••••○○❁🌷❁○○••••┈┈• Sambaza na ungana na chaneli zetu:- ╭── ••⇣⇣🔴 *YOUTUBE* 🔴 ╰┈➢ https://www.youtube.com/@Nurul_Kitab_Wa_Sunnah ╭── ••⇣⇣🪀 *WHATSAPP* 🪀 ╰┈➢ https://whatsapp.com/channel/0029Va7tZ1x3gvWdMZi3cc2d ╭── ••⇣⇣🔵 *TELEGRAM* 🔵 ╰┈➢ https://t.me/Nurul_Kitab_Wa_Sunnah ╭── ••⇣⇣🔘 *FACEBOOK* 🔘 ╰┈➢ https://www.facebook.com/profile.php?id=61559935071055 ╭── ••⇣⇣🔴 *INSTAGRAM* 🔴 ╰┈➢ https://instagram.com/nurul_kitab_wa_sunnah ╭── ••⇣⇣⚫ *TIKTOK* ⚫ ╰┈➢ https://www.tiktok.com/@nurul_kitab_wa_sunnah @Nurul_Kitab_Wa_Sunnah
👍 1

Comments