Fuad_fx
Fuad_fx
February 4, 2025 at 04:22 PM
Jambo lingine ndugu, hii biashara kama huna $100, naomba pumzika, hauwezi kufanya kitu chochote. Inauma 😔, lakini ndiyo ukweli. Mtu kumtafuta mtandaoni halafu akusaidie ni ngumu sana, tena sana. 😅 Hiyo $100 itakusaidia kulipia baadhi ya huduma muhimu ili ujifunze 📚.
👍 1

Comments