SamWaMiiracareTz
SamWaMiiracareTz
February 14, 2025 at 09:01 PM
🐫 *SABABU ZA KISUKARI (CAUSES)* 📌 Kuelewa Kisukari ni vyema na muhimu Kuelewa jinsi gani mwili hutumia *glucose* 📌 *JINSI GANI INSULIN HUFANYA KAZI* 🦠Insulin ni hormone ambayo Hutokea kwenye sehemu ya tumbo inayoitwa kongosho ( *Pancreas* ) 🦠Kongosho ( *pancreas* ) hutiririsha insulin kwenye mzunguko wa damu. 🦠Insulin huzungusha, na kuruhusu glucose iingie kwenye cell. 🦠Insulin hupunguza kiasi cha sukari kwenye mzunguko wa damu. 🦠Kiwango cha Sukari kwenye damu kikishuka, hapo ndio kongosho hutoa insulin.
👍 1

Comments