SamWaMiiracareTz
SamWaMiiracareTz
February 14, 2025 at 09:03 PM
🐫 *KAZI YA GLUCOSE NI NINI* 📌 Glucose ni sukari kwenye damu na ni chanzo cha nishati kwenye cell ambazo hutengeneza misuli na tishu ( *muscles na tissues)* 📌 Glucose Hupati kana kutoka kwenye vyanzo viwili (2) ✅ Chakula *(food)* ✅ INI *(Liver)* 📌 *Glucose* huzama kwenye mzunguko wa damu, ambapo huingia kwenye cell kwa msaada wa insulin. 📌 INI (Liver) hutunza na kutengeneza glucose, Wakati kiwango cha glucose kikiwa chini yaani Ukiwa hujala kitu, 📌INI huvunjavunja sukari iliyotunzwa ( *glycogen* ) kuwa *glucose*. 📌 Hii Hufanya kiwango cha glucose kuwa kinachotakiwa ( *typical range)*
❤️ 1

Comments