
GEORGE AMBANGILE
February 10, 2025 at 09:21 AM
PEDRI
1: Uzito wa pasi zake ( zinafika mahala sahihi , kwa wakati sahihi na kumrahisishia mpokeaji )
2: Anajua mazingira yanayomzunguka nini kinaendelea ( ina mrahisishia kufanya maamuzi sahihi mara nyingi kuliko mara chache anazokosea )
3: Anajua kuchagua spaces sahihi ambazo :-
✍🏻Zinasaidia kwenye kipindi cha kuisogeza timu juu ( Progression )
✍🏻Zinampa nafasi ya kupeleka matatizo kwa mpinzani
4: Hazidishi vitu katika utendaji wake ( ana rahisisha mchezo )
❤️
👍
🔥
🫡
😂
🙏
🤝
📌
😮
🥂
62