
Sekretarieti ya Ajira
February 3, 2025 at 11:06 AM
Hongera
Karibuni katika Utumishi wa Umma, Watanzania wana matarajio makubwa kutoka kwenu kwa utumishi wenu, tunatarajia mtafanya kazi kwa weledi, ari na nguvu mpya na kutanguliza mbele uzalendo.
❤️
👍
✊
🙏
6