Abuu Mus'ab Media
Abuu Mus'ab Media
January 31, 2025 at 03:35 PM
*SHA'BAAN: MWEZI WA WASOMAJI (WANAOSOMA QUR'ANI)* _*Walikuwa baadhi ya salaf- kama  alivyotaja ibn Rajab - katika  kuizoezesha nafsi juu ya ibada katika Ramadhani wanauita huu mwezi (wa Sha'baan) mwezi wa wasomaji;*_ _*Kwa kujitahidi kwao pamoja na saum; kusoma Qur'ani, *_ _*Alikuwa Habib bin Abi Thabit inapoingia Sha'baan akisema: huu ni mwezi wa wasomaji,*_ _*Na alikuwa Amru bin Qeis Al Mulaai; inapoingia Sha'baan akifunga duka lake na kutafarragh (kutenga mda wake wote) kwa ajili ya kusoma Qur'ani.*_ 📼[Khutba: Sha'baanu aqbala fa aynal 'abiduun- ya Sheikh Dr. Khalid bin Dhahawi Adh-Dhafiry حفظه الله] ════ ❁✿❁ ════ *Salafi Da'wah East Africa (Salafi Da'wah Afrika Mashariki)* https://whatsapp.com/channel/0029VabMSx07tkj3R6Dou41f https://whatsapp.com/channel/0029Vaf8jnw35fLy4RCecN3x
👍 1

Comments