
UTUME WA BIBIRIA RC TZ
February 6, 2025 at 03:48 PM
yakupaswa ujue ili mtu apate kibari machoni pa Mungu lazma awe mwadilifu na mtii machoni pa Mungu na kwa watu wenye nia njema na mapenzi mema , hakuna nabii au mtume aliyefanya Muujiza kwa Nguvu zake ata Musa aliyagawa maji ya bahari kwa Uwezo wa Mungu.