Tanzeel Foundation
Tanzeel Foundation
February 6, 2025 at 04:17 PM
*Tanzeel Social Development Fund (TSDF)* Kila Ijumaa, changia *Shilingi 1,000* kwa ajili ya kuusmwezesha mfuko huu kutimiza malengo yake katika kuihudumia jamii. - Kuwasaidia wasiojiweza - Kugawa futari na daku kipindi cha mfungo wa Ramadhan - Kusaidia mayatima, wajane, na wazee *Fanya Ijumaa yako kuwa yenye baraka!* *Changia kupitia namba* - *TigoPesa:* +255 776 482 582 _(Tanzeel Foundation)_ - *M-Pesa:* +255 749 782 582 _(Tanzeel Foundation)_ - *Airtel Money:* +255 696 810 202 _(Tanzeel Foundation)_ *PBZ Bank Account :* 0927087001 _(Tanzeel Foundation)_ *Tanzeel Foundation,tumejitotolea kwa maendeleo ya kweli* _"Sadaka yako ahueni kwa jamii_"

Comments