
Tanzeel Foundation
February 6, 2025 at 04:17 PM
*Tanzeel Social Development Fund (TSDF)*
Kila Ijumaa, changia *Shilingi 1,000* kwa ajili ya kuusmwezesha mfuko huu kutimiza malengo yake katika kuihudumia jamii.
- Kuwasaidia wasiojiweza
- Kugawa futari na daku kipindi cha mfungo wa Ramadhan
- Kusaidia mayatima, wajane, na wazee
*Fanya Ijumaa yako kuwa yenye baraka!*
*Changia kupitia namba*
- *TigoPesa:* +255 776 482 582 _(Tanzeel Foundation)_
- *M-Pesa:* +255 749 782 582 _(Tanzeel Foundation)_
- *Airtel Money:* +255 696 810 202 _(Tanzeel Foundation)_
*PBZ Bank Account :* 0927087001 _(Tanzeel Foundation)_
*Tanzeel Foundation,tumejitotolea kwa maendeleo ya kweli*
_"Sadaka yako ahueni kwa jamii_"