๐๐๐ ๐๐๐๐ก๐๐ ๐๐๐๐๐ง๐๐๐๐ฅ๐ ๐ฆ๐๐ฅ๐ฉ๐๐๐, ๐ง๐๐ก๐ญ๐๐ก๐๐
                                
                            
                            
                    
                                
                                
                                February 11, 2025 at 11:06 AM
                               
                            
                        
                            Habari Njema kwa wanafamilia wa Femclinic Healthcare service, Tanzania Tunaomba kuwakumbusha kuwa kesho siku ya Jumatano ,tarehe 12 February 2025 Mpaka Tarehe 15 February 2025 kutakua na Kliniki ya Ugonjwa wa Kisukari Doctor  Fedrick Mpenda Mshauri wa Magonjwa  ya Ndani Atakuwepo Huru kupitia Mtandao(online) kutoa Huduma ya ushauri wa Lishe,Vipimo,Matibabu Na Mazoezi kwa wagonjwa wa Kisukari. Karibuni sana kwa wote wenye uhitaji kwa changamoto ya Kisukari, Mda ni Kuanzia saa Nne Asubuhi Mpaka Saa Kumi Jioni. Usisite kumwalika Ndugu,Jamaa  Au  Rafiki Kwani Huduma Hii ni BURE. Nyote Mnakaribishwa 
Unaweza kufanya booking online kwa kugusa link hapo Chini ili kujisajili katika Orodha ya watakao Pata Huduma hii.
Jisajili Hapa https://t.co/xYNd016N2H
Kwa msaada zaidi piga no: 0747290559