๐—™๐—˜๐— ๐—–๐—Ÿ๐—œ๐—ก๐—œ๐—– ๐—›๐—˜๐—”๐—Ÿ๐—ง๐—›๐—–๐—”๐—ฅ๐—˜ ๐—ฆ๐—˜๐—ฅ๐—ฉ๐—œ๐—–๐—˜, ๐—ง๐—”๐—ก๐—ญ๐—”๐—ก๐—œ๐—”
๐—™๐—˜๐— ๐—–๐—Ÿ๐—œ๐—ก๐—œ๐—– ๐—›๐—˜๐—”๐—Ÿ๐—ง๐—›๐—–๐—”๐—ฅ๐—˜ ๐—ฆ๐—˜๐—ฅ๐—ฉ๐—œ๐—–๐—˜, ๐—ง๐—”๐—ก๐—ญ๐—”๐—ก๐—œ๐—”
February 17, 2025 at 06:42 AM
Habarini za Asubuhi Poleni na Hongereni Kwa Majukumu. Tunaomba kuwakumbusha Kwa wale wote tulioweka Appointment siku ya leo kwaajili ya online consultation Juu ya Ugonjwa wa Fangasi Sehemu za Siri, Tuzingatie Mda Kuanzia Saa 4 Asubuhi Mpaka Saa 10 Jioni. Ahsanteni ๐Ÿ™ Femclinic Healthcare service, Tanzania Our Motto: Tunajali na Kuthamini Afya yako
โค๏ธ 2

Comments