Kigoma Region Tanzania
Kigoma Region Tanzania
February 14, 2025 at 03:59 PM
*UTEKELEZAJI WA MIRADI YA KIMAENDELEO MKOANI* Katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Dkt. Samia, mkoa wa Kigoma umepokea Shilingi Trilioni. 11.4 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya Maendeleo huku baadhi ya miradi utekelezaji wake umekamilika na ambayo haijakamilika ipo katika hatua za utekelezaji na hakuna mradi uliokwama. Masuala yote ya ujenzi yanasimamiwa na kanuni na Sheria zinazotokana na mikataba hivyo mkandarasi anapotakiwa kuongeza muda wa utekelezaji mradi, serikali itahakikisha nyongeza ya muda huo itakuwa ni ile inayokidhi matakwa ya kimkataba. Niwahakikishie kuwa miradi ya TACTIC inayoendelea kutekelezwa mkoani Kigoma itakamilika kwa mujibu wa mikataba yake sambamba na miradi yote inayotekelezwa mkoani hapa" Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Thobias Andengenye

Comments