
Kigoma Region Tanzania
February 16, 2025 at 08:40 PM
*MALENGO YETU KIGOMA COMMUNITY NA KIGOMA REGION TANZA*
Hii ndio kazi inayotakiwa kuanza kuifanya *Jamii ya watu wakigoma* Mungu afanye wepesi tuzifikie Jamii Zetu na kuzisaidia.
Nia tunayo,Ari Tunayo tunahitaji support kutoka kwa Jamii yetu.
Watu wetu Wakigoma bado wanahitaji kushikwa mkono na kutatuliwa shida zao.
*#jukumu letu*
👍
1