Kigoma Region Tanzania
Kigoma Region Tanzania
February 20, 2025 at 06:20 AM
*WANAKIGOMA WALIOWAHII KUALIKWA /KUHOJIWA NA KUONESHA NJIA KUNAKO MAENDELEO YA MKOA WETU KUPITIA KADA MBALIMBALI KUPITIA WAO TUMEONA MABADILIKO MAKUBWA MKOANI KWETU* *TUNAOMBA KUWATAMBUA* *1-Hussein Kalyango:* Diwani kata ya Kigoma Manispaa ya Kigoma Ujiji 2015-2020. *2-Mr Kagoma:* Kiongozi wa Tembo FC Kibondo Kigoma. *3-Husna Sungura:* Kiongozi wa soka la Wanawake mkoani Kigoma *4-Ally Itembe* : Kiongozi wa soka mkoa wa Kigoma (General Coordinator wa TFF Kigoma) *5-Lulu Cement:* Kiongozi wa kurasa za Mashujaa FC *6-Chief LutaLosa Yemba:* Mgombea Urais Jamhuru ya Muungano wa Tanzania 2015 ADC *7-Dk Zimbwe Kauke* pharmacist (Dodoma Hospital) *8-Mh Hamisi Iddi mmasa* M/kiti Kijiji Cha Sunuka willaya ya UVINZA *Ccm*. *9-Mh Omari Gindi* mwekiti wa Chadema Wilaya kigoma mjini. *10-mwalim Banka the don* muonesha fursa Katavi. *11-Kolo Hamza malilo ll* Sultan wa wamanyema *12-Mbuya Ayoub kilima*. Makamu m/kiti chama Cha mpira wamiguu kigoma. *13-Hasan Hamis msimbwa* mfanyabiashara/Muonesha fursa na mshirika wachama Cha wafanyabiasha wamipakani.*Cross Border Traders Association CBTA* *14-Rashid Bakari Tanganyika* Meneja wa Taasisi ya *matwi Sports Academy* *15-Paul Wabike* Fursa za kibiashara Nchi za Ulaya. *16-Dr Mikota Karenga* (Masters Degree) Ufadhili wa Masomo Nchini Uturuki *17-Ernest Boniface Makulilo EBM*. Udhamini wa Elimu ya Juu Ughaibuni. *18-Jumbe Issa Jumbe* katibu wachama Cha mpira wamiguu Wilaya ya Kasulu. *19-Said Msonga* Mchambuzi wa masuala ya kisiasa Ukanda wa Ulaya,Africa,Ulaya. *20-Mwalim Abuu Mvano* Afisa Uhamiaji mstaafu_kigoma. *21-Mh Shaabani Mambo* Mwanachama na Kiongozi wa ACT wazalendo_kigoma. --------- *Tunawashukuru sana na tuendelee Kushirikiana kwa Ajili ya maendeleo ya mkoa wetu Wakigoma* Wanakigoma mnakaribishwa ktk Mijadala mbalimbali ili kupanua fikra kwa Ajili ya maendeleo mkoani kwetu kigoma.

Comments