AJIRA FASTA FORUM
AJIRA FASTA FORUM
February 12, 2025 at 05:16 PM
*Nafasi ya kazi ya ualimu (Walimu wawili wa kike)* *Kazi yake* *Kuandaa kazi za watoto wenye umri kati ya miaka 3 hadi 5* *Kufundisha watoto wadogo wenye umri kati ya miaka 3 hadi 5.* *Kushauriana na mkuu wa shule kuhusu maendeleo ya watoto na kutafuta mbinu za kukuza uwezo wa watoto katika kujifunza.* *Sifa* *Elimu ya Astashahada, Stashahada au shahada ya Elimu ya watoto wadogo* *Uzoefu* *Usiopungua miezi 6...japo asiye na uzoefu pia atafikiriwa kwa kuzingatia uwezo wake.* *Tuma maombi kwa 0767446534* *Shule ipo Kibada Kigamboni Dar es salaam* *Mshahara ni ule unaouhitaji wewe ilimradi uwezo wako uwe unaendana na vigezo vya usaili*

Comments