AJIRA FASTA FORUM WhatsApp Channel

AJIRA FASTA FORUM

495 subscribers

About AJIRA FASTA FORUM

Pata nafasi za kazi mikoa yote na nje ya Tanzania. Omba nafasi hizo ukiwa NYUMBANI popote Tanzania.(kwa walio na vyeti na wasio na vyeti) View and Follow channel hii kuona utaratibu na kupata taarifa za ajira punde zikitoka. Pia Facebook, Instagram Twitter,Telegram na WhatsApp search AJIRA FASTA FORUM Piga 0658561462 kwa Maulizo yoyotee https://t.co/Mbe2eMTOlg

Similar Channels

Swipe to see more

Posts

AJIRA FASTA FORUM
AJIRA FASTA FORUM
2/27/2025, 5:33:23 AM

*TANGAZO LA AJIRA YA MUDA* Uongozi wa shule ya sekondari KOMUGE iliyopo kijiji cha Komuge, kata ya Komuge,wilaya ya RORYA, unatangaza nafasi tatu (03) za ajira ya ualimu kwa masomo yafuatayo: √ History na Geography...... nafasi 1 √ English Language..... nafasi 1 √ Mathematics........nafasi 1. *SIFA ZA MWOMBAJI* 1.Awe mtanzania mwenye haiba ya ualimu. 2.Awe na Stashahada au Shahada kutoka katika chuo kinachotambulika na serikali. 3. Awe na utayari wa kufundisha somo(masomo) tajwa kwa ufanisi wa kiwango cha juu. Maombi yote yaelekezwe ofisi ya mkuu wa shule. Kwa mawasiliano zaidi,piga simu kwa namba zifuatazo; 0769 886 398 ....Mkuu wa shule 0762 692 436....Makamu mkuu wa shule. 0713 193 181....Mwandamizi Taaluma.

AJIRA FASTA FORUM
AJIRA FASTA FORUM
2/26/2025, 5:49:12 PM

https://chat.whatsapp.com/HNAcCQYSklSHDHMCHt5pcm

AJIRA FASTA FORUM
AJIRA FASTA FORUM
2/27/2025, 7:36:33 AM

✍️✍️✍️ VACANCY. ✍️✍️✍️ AN-NOOR ISLAMIC BOYS SEMINARY is looking for competent teachers who can teach both subjects as follows:- 1-Commerce & Accountancy. 2-English lang & Kiswahili. 3-Adv/Maths& Physics/Chemistry. - Salary - TGTS D. - Working place - TANGA CITY. QUALIFICATIONS: - Bachelor degree of Education in related subjects - Bachelor degree in any engineering course (One who is able to teach Advanced Maths & Physics). - Bachelor degree of Accountancy. - Experience in teaching candidate classes. Send your detailed CV via [email protected] or WhatsApp 0654463601/0655979735/0629446067. -Deadline 28/02/2025....04:00pm.

AJIRA FASTA FORUM
AJIRA FASTA FORUM
2/27/2025, 6:36:47 AM

Habari waalimu Anatafutwa mwalimu wa CHEMISTRY ( *Mwalimu wa kike* ). Kwa maelezo zaidi Mawasiliano 0786258822

AJIRA FASTA FORUM
AJIRA FASTA FORUM
2/26/2025, 5:49:08 PM

*TANGAZO LA AJIRA* WALIMU WA 3 WANAHITAJIKA CP,PM NA CM KW MBALI POSHO MAKUBALIANO KUANZIA 350K LOCATION MWANZA (UKEREWE NAMBA YA HEADMASTER 0744943976 CHAI NA CHA MCHANA VIPO SHULE INAMILIKIWA NA JIMBO KATOLIKI LA BUNDA

AJIRA FASTA FORUM
AJIRA FASTA FORUM
2/27/2025, 6:37:07 AM

Anatafutwa mwalimu wa CHEMISTRY ( *Mwalimu wa kike* ). Kwa maelezo zaidi Mawasiliano 0786258822

AJIRA FASTA FORUM
AJIRA FASTA FORUM
2/27/2025, 7:36:36 AM

*VACANCY:* WELL EQUIPED TEACHERS SPECIALIZED IN *MATHEMATICS & CHEMISTRY* ARE HIGHLY NEEDED. Posts: 2 Location: KSSS - MWANZA CONTACT: +255684230980 / +255752776469 Due: Wednesday, 05th MARCH 2025.

AJIRA FASTA FORUM
AJIRA FASTA FORUM
2/27/2025, 7:36:35 AM

*HABARI WAALIMU* Anahitajika mwalimu wa *CHEMISTRY* JINSI: *Mwalimu wa kike* Kwa maelezo zaidi Mawasiliano 0786258822

AJIRA FASTA FORUM
AJIRA FASTA FORUM
2/26/2025, 5:49:10 PM

Shule ya Annerick pre and primary iliyopo madale kisauke inatafuta mwalim mzoefu wa grade 2 anayejua fundisha masomo yote Mawasiliano. 0754000351 Anna Massawe mkurugenzi mkuu

AJIRA FASTA FORUM
AJIRA FASTA FORUM
2/26/2025, 3:11:28 PM

We need teacher's of chemistry, Biology, mathematics, geography, Physics,kiswahili, history, commercial subject's, English, send your cv to rev. [email protected] , wasapu no 0742524995 calls no 0656401495 location of school found in Dare es salaam

Link copied to clipboard!