AJIRA FASTA FORUM
                                
                            
                            
                    
                                
                                
                                February 19, 2025 at 03:01 PM
                               
                            
                        
                            🚨 🚨 🚨 🚨 🚨 🚨 
Tunaitaji, mwalimu wa mathematics(1), Biology(1), na mwali atakaye weza kufundisha chemistry and physics (1)
Mshaara ni 300k kwa mwezi kula atakula shule asubuhi na mchana pia 
Tutamsaidia kumchangia pesa ya accommodation.
Shule ipo Ifakara mjini mkoa wa morogoro Kibaoni secondary.
Tuma CV na vyeti.
Deadline: Friday, February 21, 2025
WhatsApp no: 0627077637