
NURU YA UPENDO
May 14, 2025 at 05:34 PM
🌿 **Asili na upendo wa ki-Mungu*
📖 * 1Wakoritho 13:4-7*
Upendo wa ki-Mungu;
1. **Hauna ubinafsi** – Unawatanguliza wengine. (Wafilipi 2:3-4)
2. **Huvumilia** – Upo tayari kungojea hata nyakati ngumu (1 Wakorintho 13:4)
3. **Unafadhili** – unakuwa tayari kusaidia wengine haja zao ( Waefeso 4:32)
4. **Unasemehe** – Hauhifadhi kumbukumbu ya mabaya ya mtu, wala hauoni uchungu (1 Wakorintho 13:5)
5. **Haufurahii mambo mabaya** – Unafurahi kwa yale yaliyo ya kweli tu, (1 Wakorintho 13:6)
6. **Hustahimili** – Vishindo na maudhi haviutikisi (1 Wakorintho 13:7)
7. **Una uaminifu** – hauna ukomo wa kupenda, au unafiki. (Hosea 2:19-20)
8. **Una utakatifu** – Unachipuka katika msingi wa utakatifu (1 Peter 1:15-16)
9. *Haubagui* - Unawapenda na kuwaombea mpaka maadui (Mathayo 5:43-48)
💡 *Upendo wa ki-Mungu hausukumwi na hisia, bali ni unachagua kupenda kama Kristo alivyopenda bila sharti lolote, yaani unajitoa sadaka, kwa wengine.
www.nuruyaupendo.com
🙏
❤️
❤
👍
😂
😃
😐
36