
Side Makini Blog
June 7, 2025 at 08:50 PM
Msanii kutoka Nigeria, Chella, aliyefanya collabo na #diamondplatnumz kwenye wimbo “My Darling (SweetMelody)”, ameeleza kukerwa na comments za kisiasa kutoka kwa Watanzania kwenye kurasa zake.
🔥 Baada ya kutangaza kuwasili Tanzania kwa ajili ya show Mwanza, alishangazwa na comments kama:
“NO REFORM NO ELECTION” zikimiminika kwenye page zake.
Chella amesema:
"Mimi si mwanasiasa... sipendi mivutano kama hii kwenye page zangu."
Je, ni haki kwa mashabiki kumiminia ujumbe wa kisiasa kwa msanii wa nje?
Tuambie maoni yako! 👇
#sidemakiniblog
