
Side Makini Blog
54 subscribers
About Side Makini Blog
Side Makini Blog Tanzania’s #1 Music and Video, & Infotainment Hub Promotions & Ads: 📞 0749 657118 | 📧 [email protected]
Similar Channels
Swipe to see more
Posts

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Juni 9, 2025, amepongeza mabadiliko makubwa ndani ya Jeshi la Polisi nchini. Akihutubia katika sherehe ya kufunga kozi ya Maafisa na Wakaguzi wa Jeshi la Polisi (DPA Dar es Salaam), Rais Samia amesema: “Nidhamu na utendaji kazi umeimarika. Manung’uniko dhidi ya Jeshi la Polisi yamepungua kwa kiasi kikubwa.” 🛡️ Jeshi linaendelea kurekebisha mfumo wa utendaji kwa maslahi ya Taifa. 🔍 Maoni yako kuhusu hatua hizi za mabadiliko? — ✍️ @makinizaidi #SideMakiniBlog


Diamond Platnumz Ft Bien – Katam https://sidemakini.com/2025/06/08/diamond-platnumz-ft-bien-katam/ via @Side Makini Blog

Mwanamama @zarithebosslady amemwaga povu tamu kuhusu mahusiano ya Diamond na Zuchu! 👑 “Mimi na Tanasha tulishindwa, ila Zuchu kavumilia mengi hadi ndoa.” Pia, Zari amemuonya Diamond: 👉🏽 “Sasa wewe ni mume – acha kufanya mambo ambayo usingependa Tiffah afanyiwe!” Vipi maoni yako? Je, Zuchu avumilie au aikate? #SideMakiniBlog


Msanii nyota wa Tanzania 🇹🇿 @abigail_chams akutana na YouTuber maarufu zaidi duniani @KaiCenat kwenye red carpet ya #BETAwards2025 nchini Marekani! Wamepiga picha pamoja 🤳 na Abigail akajitambulisha kuwa anatoka Tanzania 🇹🇿 — Kai ameahidi kuitembelea Tanzania! 🔥 This is HUGE for Bongo & East Africa! #SideMakiniBlog


VIDEO: Mimah – MANENO (Official Video) https://sidemakini.com/2025/06/08/video-mimah-maneno-official-video/ via @Side Makini Blog

Kuanzia Januari 1, 2025 hadi Desemba 31, 2028 – kila mtoto atapewa akaunti ya uwekezaji ya $1,000 (Tsh Milioni 2.6) kutoka serikali ya shirikisho! 💰 Akaunti hiyo: HaitaTozwa Kodi hadi itakapotolewa Itategemea soko la hisa Wazazi/walezi watakuwa na udhibiti hadi mtoto afikishe umri wa utu uzima 📌 Trump asema mpango huu utasaidia vizazi vijavyo kujenga utajiri wa muda mrefu! Una maoni gani kuhusu sera hii ya kuvutia? Tuambie ⬇️ #SideMakiniBlog


🇹🇿 TANZANIA YANG'ARA KIUCHUMI! Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, ametangaza kuwa licha ya dunia kuyumba kiuchumi, 🇹🇿 Tanzania imeendelea kukuza uchumi wake kwa kasi ya kuvutia! 📌 Akiwasilisha Taarifa ya Hali ya Uchumi 2024/25 bungeni, Mkumbo alisema mafanikio yanatokana na: ✅ Usimamizi makini wa sera ✅ Miradi ya kimkakati ✅ Mshikamano wa kizalendo wa Watanzania 🗣️ “Tanzania ina mwelekeo chanya na hali himilivu ya kiuchumi,” amesema Prof. Mkumbo. 💬 Maoni yako kuhusu kasi hii ya ukuaji ni yapi? 🔁 Share | ❤️ Like | 📣 Tag Mzalendo Mwenzako #SideMakiniBlog


Mwigizaji na mfanyabiashara maarufu, #Diddy (Sean Combs), anakabiliwa na mashitaka kadhaa ya usafirishaji wa binadamu kwa matumizi ya ngono, ikiwa ni pamoja na kesi kubwa ya mpenzi wake wa zamani Cassie Ventura. Mwanamke aliyejitambulisha kama "Jane", aliyekuwa na uhusiano na Diddy kati ya 2021–2024, amesema: “Nilijisikia kama naandika hadithi yangu mwenyewe. Mwanzo ulikuwa mzuri, lakini baadaye nikajikuta nikishiriki matendo ya ngono na watu nisiowafahamu…” Jane asema alihisi kudhulumiwa baada ya miaka mitatu katika mahusiano hayo, huku akidai alijaribu kumweleza Diddy lakini hakupewa nafasi. ⚖️ Mashitaka haya yanaongeza presha kubwa kwa Diddy ambaye anakabiliwa na lawama nzito kutoka kwa wanawake mbalimbali. #SideMakiniBlog


Diamond Platnumz Ft Masterpiece YVK – Babu https://sidemakini.com/2025/06/08/diamond-platnumz-ft-masterpiece-yvk-babu/ via @Side Makini Blog

Mimah – Maneno https://sidemakini.com/2025/06/08/mimah-maneno/ via @Side Makini Blog