Side Makini Blog
Side Makini Blog
June 8, 2025 at 12:01 PM
Haijalishi ni ukurasa wa nani – iwe kampuni, media au msanii wa nje kama @Chellaboi (Nigeria) – kila post imevamiwa na comments za “No Reforms, No Election” au “NRNE”! Baadhi ya viongozi wa serikali wamezima maoni (comments) kabisa! 📣 Msemaji wa Serikali Gerson Msigwa asema: “Watu wameamua kufanya hivyo, tutafanyaje?” ➕ Serikali yaonya: “Mitandao isitumike vibaya, ni kupoteza bando!” Je, hii ni nguvu ya umma au fujo ya kidigitali? ✍🏾 Tuambie mtazamo wako kwenye comments👇 #sidemakiniblog
Image from Side Makini Blog: Haijalishi ni ukurasa wa nani – iwe kampuni, media au msanii wa nje ka...

Comments