Legal Minds Forum ⚖️
Legal Minds Forum ⚖️
May 19, 2025 at 12:21 PM
UHAINI ni: Kitendo cha mtu mmoja au kundi kusaliti nchi yake kwa njia kama vile; —Kushirikiana na adui wa taifa —Kujaribu kupindua serikali —Kufichua siri za nchi kwa maadui —Kuharibu/kuhujumu usalama wa taifa Unahisi LISU amefanya hayo kweli. Jibu ni NO sasa why apewe case ya TREASON.???
😂 👍 3

Comments