Legal Minds Forum ⚖️ WhatsApp Channel

Legal Minds Forum ⚖️

1.0K subscribers

About Legal Minds Forum ⚖️

Justice must not only be done but must be seen to be done

Similar Channels

Swipe to see more

Posts

Legal Minds Forum ⚖️
Legal Minds Forum ⚖️
5/19/2025, 10:03:13 AM

Kwa uliyoyaona na kuyasikia kuhusu case ya Tundu Antipas Lisu. Unahisi ni kweli ana case ya UHAINI?

Legal Minds Forum ⚖️
Legal Minds Forum ⚖️
5/19/2025, 12:21:01 PM

UHAINI ni: Kitendo cha mtu mmoja au kundi kusaliti nchi yake kwa njia kama vile; —Kushirikiana na adui wa taifa —Kujaribu kupindua serikali —Kufichua siri za nchi kwa maadui —Kuharibu/kuhujumu usalama wa taifa Unahisi LISU amefanya hayo kweli. Jibu ni NO sasa why apewe case ya TREASON.???

😂 👍 3
Legal Minds Forum ⚖️
Legal Minds Forum ⚖️
5/23/2025, 2:33:47 PM

Katika kuzingatia kama mazingira yanaruhusu utambuzi sahihi, Mahakama imekuwa ikisisitiza kwamba, pale shahidi anapomtambua mshitakiwa kwa mara ya kwanza, ni muhimu kwa shahidi kueleza kwa kina utambulisho wa mshitakiwa.”✍️✍️⚖️

Post image
👍 🙏 🫡 4
Image
Legal Minds Forum ⚖️
Legal Minds Forum ⚖️
5/19/2025, 9:29:58 AM

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Mei 19, 2025 imeahirisha Kesi ya Uhaini inayomkabili Wakili Tundu Lissu, mpaka Juni 2, 2025.

Post image
😢 🤲 2
Image
Legal Minds Forum ⚖️
Legal Minds Forum ⚖️
5/12/2025, 12:58:01 PM

_Not all procedural omissions render an appeal incompetent, especially where there is no prejudice to the other party._

Post image
👍 2
Image
Legal Minds Forum ⚖️
Legal Minds Forum ⚖️
5/10/2025, 9:33:34 AM

_Damian Ruhele v. Republic, Criminal Appeal No. 501 of 2007 (unreported). _ When you fail to cross-examine a witness on asserted facts, the trier of fact (judge or jury) may assume those facts to be accurate, as they haven't been challenged. This is because cross-examination allows for the questioning of witness credibility and the potential exposure of weaknesses in their testimony, which helps the trier of fact assess the truthfulness of the evidence. Without cross-examination, the evidence is presented without a proper challenge, potentially leading to an inaccurate conclusion.

Post image
👍 1
Image
Legal Minds Forum ⚖️
Legal Minds Forum ⚖️
6/7/2025, 7:59:47 AM

🌙 Eid al-Adha Mubarak to All Legal Minds Forum Members 🌙 #LegalMindsForum #Ijuesheria #FanyaKazi

Post image
❤️ 1
Image
Legal Minds Forum ⚖️
Legal Minds Forum ⚖️
5/26/2025, 8:59:31 AM

“This Court finds that even in the darkest depths of human desperation, the law remains a light that must not be extinguished. To take a life, however reasoned or desperate the act, is still to cross the sacred boundary the law was built to protect.” His Lordship P.E J.,

Post image
👍 ❤️ 📌 😂 6
Image
Legal Minds Forum ⚖️
Legal Minds Forum ⚖️
5/10/2025, 12:43:35 PM

Utaratibu wa kumkamata mtuhumiwa umeelezwa vyema kwenye sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai. Pamoja na mambo mengine, mtuhumiwa anayo haki ya kuelezwa sababu za kukamatwa kwake. Binadamu hawezi kukamatwa kama kuku, askari anatakiwa kujitambulisha (kuonyesha kitambulisho), kisha kueleza sababu za kukamata mtuhumiwa kwa kuonyesha hati ya kukamata (arrest warant). ◇Unaweza kujiuliza swali kwamba je, asipofuata taratibu hizo kipi kifanyike?.......Taratibu za ukamataji zisipofuatwa, hakikisha unaieleza Mahakama wakati wa kujitetea. Ni sababu nzuri inayoweza kupelekea kuachiwa huru. Katika kesi hii, mtuhumiwa ameachiwa huru kwa sababu taratibu za ukamataji hazikufuatwa. #LegalMindsForum #Ijuesheria #FanyaKazi

Post image
👍 🙏 3
Image
Legal Minds Forum ⚖️
Legal Minds Forum ⚖️
5/12/2025, 1:04:06 PM
Post image
👍 2
Image
Link copied to clipboard!