
Legal Minds Forum ⚖️
1.0K subscribers
About Legal Minds Forum ⚖️
Justice must not only be done but must be seen to be done
Similar Channels
Swipe to see more
Posts

Kwa uliyoyaona na kuyasikia kuhusu case ya Tundu Antipas Lisu. Unahisi ni kweli ana case ya UHAINI?

UHAINI ni: Kitendo cha mtu mmoja au kundi kusaliti nchi yake kwa njia kama vile; —Kushirikiana na adui wa taifa —Kujaribu kupindua serikali —Kufichua siri za nchi kwa maadui —Kuharibu/kuhujumu usalama wa taifa Unahisi LISU amefanya hayo kweli. Jibu ni NO sasa why apewe case ya TREASON.???

Katika kuzingatia kama mazingira yanaruhusu utambuzi sahihi, Mahakama imekuwa ikisisitiza kwamba, pale shahidi anapomtambua mshitakiwa kwa mara ya kwanza, ni muhimu kwa shahidi kueleza kwa kina utambulisho wa mshitakiwa.”✍️✍️⚖️


Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Mei 19, 2025 imeahirisha Kesi ya Uhaini inayomkabili Wakili Tundu Lissu, mpaka Juni 2, 2025.


_Not all procedural omissions render an appeal incompetent, especially where there is no prejudice to the other party._


_Damian Ruhele v. Republic, Criminal Appeal No. 501 of 2007 (unreported). _ When you fail to cross-examine a witness on asserted facts, the trier of fact (judge or jury) may assume those facts to be accurate, as they haven't been challenged. This is because cross-examination allows for the questioning of witness credibility and the potential exposure of weaknesses in their testimony, which helps the trier of fact assess the truthfulness of the evidence. Without cross-examination, the evidence is presented without a proper challenge, potentially leading to an inaccurate conclusion.


🌙 Eid al-Adha Mubarak to All Legal Minds Forum Members 🌙 #LegalMindsForum #Ijuesheria #FanyaKazi


“This Court finds that even in the darkest depths of human desperation, the law remains a light that must not be extinguished. To take a life, however reasoned or desperate the act, is still to cross the sacred boundary the law was built to protect.” His Lordship P.E J.,


Utaratibu wa kumkamata mtuhumiwa umeelezwa vyema kwenye sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai. Pamoja na mambo mengine, mtuhumiwa anayo haki ya kuelezwa sababu za kukamatwa kwake. Binadamu hawezi kukamatwa kama kuku, askari anatakiwa kujitambulisha (kuonyesha kitambulisho), kisha kueleza sababu za kukamata mtuhumiwa kwa kuonyesha hati ya kukamata (arrest warant). ◇Unaweza kujiuliza swali kwamba je, asipofuata taratibu hizo kipi kifanyike?.......Taratibu za ukamataji zisipofuatwa, hakikisha unaieleza Mahakama wakati wa kujitetea. Ni sababu nzuri inayoweza kupelekea kuachiwa huru. Katika kesi hii, mtuhumiwa ameachiwa huru kwa sababu taratibu za ukamataji hazikufuatwa. #LegalMindsForum #Ijuesheria #FanyaKazi
