
WATANI WA JADI
June 6, 2025 at 03:41 AM
Kampuni ya usafirishaji ya “Raphael Logistics” leo Asubuhi Imeanza Safari ya kubeba boti hii kutoka Mkoani Mtwara kwenda Mkoani Mwanza
Umma umejulishwa kuwa gari yenye Namba za Usajili (T351 EAD/T190 DWT) yenye mzigo aina ya BOAT imeanza Safari kutoka Mtwara kupitia mikoa ya Ruvuma-Njombe-Iringa-Morogoro-Dodoma-Singida-Tabora-Shinyanga mpaka kufika Mwanza.
Gari hiyo Imebeba Mzigo ambao una vipimo vifuatavyo:
Urefu - mita 29
Upana - mita 5.6
Kimo-mita 7.4
Kampuni hiyo Imeomba watumiaji wa Barabara hiyo kuchukua Tahadhari kwani safari hiyo itachukua mwezi mzima Kuanzia Leo (June 5,2025) na Wanatarajia kufika Mwanza mwezi ujao (Julai, 2025)
