WATANI WA JADI
WATANI WA JADI
June 6, 2025 at 03:55 AM
Mzigo huu wa abnormal utasafiri kwa wastani wa mwezi mmoja kuanzia leo tarehe 05.06.2025 kutoka Mtwara kupitia Ruvuma - Njombe - Iringa - Morogoro - Dodoma - Singida - Tabora - Shinyanga - Mwanza VIPIMO Urefu mita 29 Upana mita 5.6 Kimo mita 7.4 Watumiaji wa barabara maeneo yote utakapopita mzigo huu tuchukue tahadhari.
Image from WATANI WA JADI: Mzigo huu wa abnormal utasafiri kwa wastani wa mwezi mmoja kuanzia leo...

Comments