
WATANI WA JADI
June 7, 2025 at 09:40 AM
Kampuni ya Raphael Logistics Jana tar 5 Jun 25 imeaza safari ya kubeba boti hii kutoka Mkoani Mtwara kwenda Mkoani Mwanza
Safari hii kutoka mtwara itapitia Mikoa ya
Ruvuma, Njombe, Iringa, morogoro, Dodoma,Singida,Tabora,Shinyanga,Mpaka kufika Mwanza.
Safari hii itachukuwa muda wa mwezi mmoja hadi kufika
Gari hiyo imebeba Mzigo ambao una vipimo vifuatavyo
Urefu-mita 29
Upana-mita 5.6
Kim-mita 7.4
Hapa kijijini kwetu mnolela Lindi mzigo huu ulipitishwa Majira ya saa 9:55pm
Tupo bampa2bampa mpaka mwanza
👍
1