
WIZARA YA MAMBO YA NJE
May 12, 2025 at 08:43 PM
Matukio mbalimbali ya Uzinduzi wa Baraza jipya la Wafanyakazi la Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
Uzinduzi huo umefanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa JNICC, uliopo jijini Dar es Salaam. Tukio hilo limefanyika tarehe 11 Mei, 2025.
👍
❤️
🙏
11