
WIZARA YA MAMBO YA NJE
May 20, 2025 at 09:21 PM
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan amempokea Rais wa Jamhuri ya Namibia, Mheshimiwa Dkt. Netumbo Nandi-Ndaitwah Ikulu, jijini Dar es Salaam, Mei 20, 2025.

❤️
👍
🙏
😂
23