
Afisi Ya Makamu Wa Pili Wa Rais
June 10, 2025 at 03:11 PM
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Ndugu Hemed Suleiman Abdulla akizungumza na Viongozi wa Halmashauri Kuu ya Wilaya ya Kati pamoja na kamati za siasa za jimbo na wadi alipofanya ziara ya kuimarisha chama Wilayani humo katika Ukumbi wa kituo cha Walimu (TC) Dunga.
📍Dunga - Zanzibar
🗓10.06.2025