
๐ข๐ง๐๐จ๐ ๐๐ก ๐๐๐๐ง
May 24, 2025 at 12:58 PM
*Ukombozi wa kweli wa mwanamke hauko kwenye kuwa sawa na mwanaume,* ila upo kwenye kuwa bora zaidi katika nafasi yake ya kipekee kama Mwanamke. *Mwanamke akiishi kwenye asili yake, jamii itapona, ndoa zitadumu, na watoto watakua kwenye misingi ya haki, upendo na heshima vitadumu.*
Mwanamke akirudi kwenye asili yake, familia itasimama, familia ikisimama, *taifa litastawi.*
Follow na share kwa wengine ๐ [Othuman Fact Channel] (https://whatsapp.com/channel/0029VaLtsI46buMBVNc8Q40s)

โค๏ธ
๐
3