
๐ข๐ง๐๐จ๐ ๐๐ก ๐๐๐๐ง
May 24, 2025 at 08:34 PM
*Katika haya maisha tunayoishi ili uwe na furaha na kila mmoja na usiudhi yeyote ingia kwa watu kipofu na utoke bubu*
*Unyamaze kwa kila unacho ona kwani kuna mengine kuyasema kwake nikuamsha fitina iliyolala*
*Na kisha epuka Sana kufichua siri za watu kwani haingii peponi mwenye. Kufichua siri za watu na kuvunja heshima za watu*
*Nyamazia kila unachosikia Usiwe ni mwenye kugombanisha watu na ukishidwa kabisa nyamaza kwani kunyamaza ni hekma lakini ni wachache wanayoitenda*
https://whatsapp.com/channel/0029VaLtsI46buMBVNc8Q40s

โค๏ธ
๐ซก
2