
*🌹🌹Mafunzo sahihi ya ndoa*
May 27, 2025 at 09:23 AM
https://chat.whatsapp.com/E6Zc5ubeFUg8zisCYsvRxS
*🌹🌹KATAZO LA KUUPINGA UKE WENZA* Darsa namba (1)
*ﻗﺎﻝ ﺍﻟﺸﻴﺦ الإمام المحدث اﻷﻟﺒﺎﻧﻲ ﺭﺣمه ﺍﻟﻠﻪ:*
*✍️Amesema Al-Allaamah imam Al-ban (rahimahullah)*
*ﺍﻟﺸﺎﻫﺪ ﺃﻥ ﻓﻜﺮﺓ ﺍﻣﺘﻨﺎﻉ ﺍﻟﻔﺘﻴﺎﺕ ﺍﻟﻤﺴﻠﻤﺎﺕ ﻣﻦ ﺍﻟﺘﻌﺪﺩ ,ﻫﺬﻩ ﻓﻜﺮﺓ ﺧﻄﻴﺮﺓ ﺟﺪﺍ ,*
*Ushahidi ni kwamba hakika ya fikra ya kujizuia wanawake wa kiislam juu ya uke wenza hii ni fikra ya hatari sana*
*ﻭﻣﺨﺎﻟﻔﺔ ﻟﻠﺸﺮﻳﻌﺔ ﺍﻹﺳﻼﻣﻴﺔ ﻭﻋﻠﻴﻬﻦ ﺃﻥ ﻳﻄﺮﺣن ﺍﻷﻫﻮﺍﺀ ﺍﻟﺸﺨﺼﻴﺔ ﻭﺃﻥ ﻳُﺨﻀﻌن ﺃﻧﻔﺴﻬﻦ ﻟﻸﺣﻜﺎﻡ ﺍﻟﺸﺮﻋﻴﺔ*
*(Na fikra hizo) ni kwenda kinyume na sharia ya kiislam na juu yao wayapinge matamanio ya kibinaadam na wajisalimishe katika hukmu ya kisharia*
*ﻭﺇﻻّ ﻓﻠﻦ ﻳﻜﻮﻧن ﻣﺴﻠﻤﺎﺕ ﺣﻘﺎ ﺻﺎﻟﺤﺎﺕ ﻛﻤﺎ ﻗﺪ ﻳﺪﻋﻲ ﻣﻨﻬﻦ ﺃﻧﻬﺎ ﻣﻠﺘﺰﻣﺔ ﻭﻟﻜﻨﻬﺎ ﺇﺫﺍ ﻭُﺟﻬﺖ ﻟﻤﺜﻞ ﻫﺬﺍ ﺍﻟﺤﻜﻢ ﺍﻟﺸﺮﻋﻲ ﺍﺳﺘﻨﻜﻔﺖ*
*Vinginevyo, hawatakuwa Waislamu waadilifu, kwani wanaweza kudai kuwa wamejitolea, lakini ikiwa wanakabiliwa na hukumu hiyo ya kisheria (kama uke wenza), watakataa.*
*ﻭﺍﻟﻠﻪ ﻋﺰ ﻭﺟﻞ ﻳﻘﻮﻝ ﻓﻲ ﺍﻟﻘﺮﺁﻥ ﺍﻟﻜﺮﻳﻢ :{ ﻓﻼ ﻭﺭﺑﻚ ﻻ ﻳﺆﻣﻨﻮﻥ ﺣﺘﻰ ﻳﺤﻜﻤﻮﻙ ﻓﻴﻤﺎ ﺷﺠﺮ ﺑﻴﻨﻬﻢ ﺛﻢ ﻻ ﻳﺠﺪﻭﺍ ﻓﻲ ﺃﻧﻔﺴﻬﻢ ﺣﺮﺟﺎ ﻣﻤﺎ ﻗﻀﻴﺖ ﻭﻳﺴﻠﻤﻮﺍ ﺗﺴﻠﻴﻤﺎ }*
*Na Allah (subhaana wataala) anasema katika Qur'an tukufu: naapa kwa moja wako hawato amini watu mpaka wakufanye hakimu wewe (muhammad) katika yale walio zozana baina yao kisha wasikute katika nafsi zao shaka katika yale uliyo yahukumu na wajisalimishe msalimisho."*
*❪📚❫ المصْــــدَرُ: ❪ ﺷﺮﻳﻂ سلسلة ﺍﻟﻬﺪﻯ ﻭﺍﻟﻨﻮﺭ٣٤٥❫*
══════ ❁✿❁ ══════
*📓 ✍️ Abou hudaa Al-jaziiriyyi حفظــــــــــه اللــــــــــه تعالــــــــــى ورعــــــــــاه📖*
*🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹*
*📡Subscribe my WhatsApp channel*
*https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R*
*🔽Jiunge na group la mafunzo sahihi ya ndoa*
*https://chat.whatsapp.com/FW4aG9M68ruLjzC53NoNab*
*🔽Hii ni channel maalum ya telegram kwajili ya mafunzo sahihi ya ndoa tu gusa link hii hapa chini ili kujiunga*
*https://t.me/Mafunzo_sahihi_ya_ndoa*
*VUNA THAWABU KWA KUSAMBAZA KWA WENGINE👌*
*💉Kuwa muadilifu usibadili chochote*
*🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹*
❤
❤️
👍
🙏
10