*๐น๐นMafunzo sahihi ya ndoa*
7.8K subscribers
About *๐น๐นMafunzo sahihi ya ndoa*
*๐น๐นChannel yetu inahusiana na mafunzo sahihi ndoa, na mafunzo haya yatatolewa kwa mujibu wa kitabu na sunna kwa ufaham wema walio tangulia, na tutayatoa mafunzo haya kwa mfumo wa makala na vibango na muandaaji wetu ni ndugu yetu Abou hudaa Al-jaziiriyyi (Allah amhifadhi).*
Similar Channels
Swipe to see more
Posts
                                    
                                *https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R* *๐น๐นCHAKULA CHA MUME KWA FAMILIA YAKE NI SWADAQA KAMA ATANUIA SWADAQA* Darsa namba (1) *ุนู ุฃุจู ู ุณุนูุฏ ุงูุจุฏุฑู ุฑุถู ุงููู ุนูู ูุงู :* *Kutoka kwa ibn masu'ud Al-badri Allah amridhie amesema:* *ูุงู ุงููุจู ุตูู ุงููู ุนููู ูุณูู :* *๐Amesema mtume (swala na salaam ziwe juu yake):* *ุฅู ุงูู ุณูู ุฅุฐุง ุฃููู ุนูู ุฃููู ูููุฉ ูุญุชุณุจูุง ูุงูุช ูู ุตุฏูุฉ . ุฑูุงู ุงูุจุฎุงุฑู (55) ูู ุณูู (1002) .* *Hakika ya muislam pindi akitoa chakula kwa Ahli yake akatarajia malipo kwa chakula hiko, basi kitahesabiwa kuwa ni swadaka kwake.* (Kaipokea imam bukhary (55) na muslim (1002) *ููููุฉ ุงูุฑุฌู ุนูู ุฒูุฌุชู ูุฃููุงุฏู ูุงุฌุจ ุดุฑุนู ุ ููุง ูุซุงุจ ุนูููุง ุฅูุง ุฅู ูุตุฏ ุงูุงุญุชุณุงุจ .* *Matumizi ya mume kwa mkewe na watoto wake ni wajibu wa kisharia, na wala hapati thawabu isipokuwa atakapo tia nia ya kulipwa."* โโโโโโ โโฟโ โโโโโโ *๐ โ๏ธ Abou hudaa Al-jaziiriyyi ุญูุธููููููููููู ุงููููููููููููู ุชุนุงูููููููููููู ูุฑุนููููููููููุงู๐* *๐นMafunzo sahihi ya ndoa๐น* *๐กSubscribe my WhatsApp channel* *https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R* *๐ฝJiunge na group la mafunzo sahihi ya ndoa* https://chat.whatsapp.com/E6Zc5ubeFUg8zisCYsvRxS *๐ฝHii ni channel maalum ya telegram kwajili ya mafunzo sahihi ya ndoa tu gusa link hii hapa chini ili kujiunga* *https://t.me/Mafunzo_sahihi_ya_ndoa* *VUNA THAWABU KWA KUSAMBAZA KWA WENGINE๐* *๐Kuwa muadilifu usibadili chochote* *๐นMafunzo sahihi ya ndoa๐น*
                                    
                                https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R *๐น๐นJE KAZI YA MWANAMKE NYUMBANI KWAKE ANAPATA THAWABUโ* Darsa namba (1) *ุงูุณุคุงู: 69960 ูู ุฅุฐุง ุนู ูุช ุงูู ุฑุฃุฉ ูู ุจูุชูุง ุฏูู ุงุญุชุณุงุจ ููุฉ ุฃุฌุฑ ุงูุนู ู ุนูุฏ ุงููู ุชุคุฌุฑ ุนูู ุนู ููุง ุฃู ูุง ูุญุณุจ ููุง ุ.* *โ๏ธSwali: je Ikiwa mwanamke anafanya kazi nyumbani kwake bila kukusudia kupata thawabu kutoka kwa Allah kwa kazi yake, je atalipwa thawabu kwa kazi hiyo au haitahesabiwa chochote kwake?* *ุงูุฌูุงุจ: ุนู ู ุงูู ุฑุฃุฉ ูู ุจูุชูุง ุนู ู ุนุธูู ุชุณุงูู ุจู ูู ูุดุฑ ุงูู ูุฏุฉ ูุงูุฑุญู ุฉ ูู ุจูุชูุง ุ* *๐Jawabu: Kazi ya mwanamke nyumbani kwake ni amali kubwa ambayo kwayo huchangia katika kueneza upendo na huruma nyumbani kwake.* *ูููุง ุงููุฏ ุงูุทููู ูู ุงูู ุณุงูู ุฉ ูู ุชุฑุจูุฉ ุฃููุงุฏูุง ุ ููู ู ูุนููุฉ ูุฒูุฌูุง ุนูู ุนู ูู ูุนูู ุฏุนูุชู .* *Ana jukumu kubwa katika kulea watoto wake, na kumsaidia mume wake katika kazi yake, na kumuitika anapo muita.* *ููุฐุง ุงูุนู ู โ ุดุฃูู ูู ุฐูู ุดุฃู ุณุงุฆุฑ ุงูุฃุนู ุงู โ ูุง ุชุซุงุจ ุนูููุง ุงูู ุฑุฃุฉ ุฅูุง ุฅุฐุง ุฃุฎูุตุช ููู ุงูููุฉ ููู ุชุนุงูู .* *Na kazi hii inakuwa ni kazi kama kazi zingine hapati thawabu kwa kuzifanya kwake isipokuwa atakapo itakasa nia yake kwa Allah mtukufu.* *ููุฐู ุจุนุถ ุงููุตูุต ุงูู ุคูุฏุฉ ููุฐุง ู ุน ููู ุทุงุฆูุฉ ู ู ุฃููุงู ุฃูู ุงูุนูู :* *Na hizi ni baadhi ya dalili zinazo tia nguvu jambo hili pamoja na kuwanukuu kundi katika wenye elimu* *1. ุฐูุฑ ุงูุจุฎุงุฑู ุฑุญู ู ุงููู ุชุนุงูู ูู ูุชุงุจ ุงูุฅูู ุงู ุจุงุจุงู ุนุฏููุฏ ููู ูุงุฌุจุงุช ุดุฑุนูุฉ ุ ูุฐูุฑ ููู ุงุญุชุณุงุจ ุงูุฃุฌุฑ ุนูู ูุนูู .* *Imam Al-Bukhari, Allah amrehemu, ametaja katika Kitabul iman mlango ambao ameorodhesha mambo ya wajibu, na akataja malipo ya kuzifanya."* Itaendelea fatilia darsa ijayo..... โโโโโโ โโฟโ โโโโโโ *๐ โ๏ธ Abou hudaa Al-jaziiriyyi ุญูุธููููููููููู ุงููููููููููููู ุชุนุงูููููููููููู ูุฑุนููููููููููุงู๐* *๐นMafunzo sahihi ya ndoa๐น* *๐กSubscribe my WhatsApp channel* *https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R* *๐ฝJiunge na group la mafunzo sahihi ya ndoa* *https://chat.whatsapp.com/FW4aG9M68ruLjzC53NoNab* *๐ฝHii ni channel maalum ya telegram kwajili ya mafunzo sahihi ya ndoa tu gusa link hii hapa chini ili kujiunga* *https://t.me/Mafunzo_sahihi_ya_ndoa* *VUNA THAWABU KWA KUSAMBAZA KWA WENGINE๐* *๐Kuwa muadilifu usibadili chochote* *๐นMafunzo sahihi ya ndoa๐น*
                                    
                                https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R *๐น๐นJE KAZI YA MWANAMKE NYUMBANI KWAKE ANAPATA THAWABUโ* Darsa namba (2) *ูุงู ุงูุจุฎุงุฑู ุฑุญู ู ุงููู :* *โ๏ธAmesema imam Al Bukhary (rahimahullah)* *ุจูุงุจ ู ูุง ุฌูุงุกู ุฅูููู ุงูุฃูุนูู ูุงูู ุจูุงูููููููุฉู ููุงููุญูุณูุจูุฉู ุ ููููููููู ุงู ูุฑูุฆู ู ูุง ููููู ุ* *Mlango ulokuja kueleza ya kwamba hakika ya matendo ni kwa nia na hesabu, na kwa kila mtu kwa kile alicho nuia* *ููุฏูุฎููู ููููู ุงูุฅููู ูุงูู ููุงููููุถููุกู ููุงูุตูููุงุฉู ููุงูุฒููููุงุฉู ููุงููุญูุฌูู ููุงูุตููููู ู ููุงูุฃูุญูููุงู ู ุ* *Na inajumuisha ndani yake imani, Udhu, Swala, Zaka, Hajji, Swaumu, na hukmu zake* *ููููุงูู ุงูููููู ุชูุนูุงููู : ( ูููู ููููู ููุนูู ููู ุนูููู ุดูุงููููุชููู ) ุนูููู ูููููุชููู ุ* *๐Akasema Allah mtukufu: sema (ewe muahammad waambie) kila mmoja atafanya kwa nia yake* *ููููููุฉู ุงูุฑููุฌููู ุนูููู ุฃููููููู ููุญูุชูุณูุจูููุง ุตูุฏูููุฉู ุ ููููุงูู ุงููููุจูููู ุตููููู ุงูููููู ุนููููููู ููุณููููู ู : ( ูููููููู ุฌูููุงุฏู ูููููููุฉู ).* *Matumizi ya mwanamume kwa familia yake yanachukuliwa kuwa ni swadaka. Amesema Mtume (Swalla Allaahu โalayhi wa aalihi wa sallam): โBali ni jihadi na nia."* *โช๐โซ ุงูู ุตูููููุฏูุฑู: โช "ุตุญูุญ ุงูุจุฎุงุฑู" (1/29) "ูุชุงุจ ุงูุฅูู ุงู" .โซ* โโโโโโ โโฟโ โโโโโโ *๐ โ๏ธ Abou hudaa Al-jaziiriyyi ุญูุธููููููููููู ุงููููููููููููู ุชุนุงูููููููููููู ูุฑุนููููููููููุงู๐* *๐นMafunzo sahihi ya ndoa๐น* *๐กSubscribe my WhatsApp channel* *https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R* *๐ฝJiunge na group la mafunzo sahihi ya ndoa *https://chat.whatsapp.com/Esh5ppRBon198VdsjcOFUo* *๐ฝHii ni channel maalum ya telegram kwajili ya mafunzo sahihi ya ndoa tu gusa link hii hapa chini ili kujiunga* *https://t.me/Mafunzo_sahihi_ya_ndoa* *VUNA THAWABU KWA KUSAMBAZA KWA WENGINE๐* *๐Kuwa muadilifu usibadili chochote* *๐นMafunzo sahihi ya ndoa๐น*
                                    
                                *https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R* *๐น๐นYA KUYAZINGATIA MWANAMMKE WA KIISLAM WAKATI WA KUFANYA KAZI* *ููุฌูุฒ ููู ุฑุฃุฉ ุฃู ุชุนู ู ุจุถูุงุจุทุ ุฐูุฑูุงูุง ูู ูุชุงูู ุณุงุจูุฉ.* *Inafaa kwa Mke kufanya kazi kwa kuzingatia vigezo tulivyo vitaja katika fatwa zilizo tangulia* *ู ููุง: ุฃู ูููู ุงูุนู ู ูู ุฐุงุชู ู ุจุงุญุงุ ูุฅุฐู ุฒูุฌูุงุ ูุงูุงูุชุฒุงู ุจูุจุณ ุงูุญุฌุงุจ ุงูุดุฑุนูุ* *Miongoni mwa hivo vigezo: kazi yenyewe iwe ya halali, na apewe ruhusa na mumewe, ana avae mavazi ya hijabu ya kisharia* *ูุงูุจุนุฏ ุนู ู ุฎุงูุทุฉ ุงูุฑุฌุงูุ ุฃู ุงูุฎููุฉ ุจุฑุฌู ุฃุฌูุจู ุนููุง.* *Na iwe mbali na kuchanganyika na wanaume, au kujitenga na mwanaume wa kando* *ูุฐูุฑูุง ุฃู ุงูู ุฑุฃุฉ ุฅุฐุง ูุงูุช ู ูููุฉ ุจูููุฉ ุฒูุฌูุงุ ุฃู ุฃุจููุงุ ูููุณุช ูู ุญุงุฌุฉ ุฅูู ุงูุนู ูุ* *Na tukataja ya kwamba hakika ya mke yakiwa yanamtosha matumizi ya mumewe au baba yake, basi hakuna haja ya kufanya kazi* *ููุฑุงุฑูุง ูู ุจูุชูุง ุฎูุฑ ููุงุ ูุฃุตูู ูุนุฑุถูุงุ ูุฃุจุนุฏ ููุง ุนู ุฃุณุจุงุจ ุงููุชูุฉ.* *Kutulizana nyumbani kwake ni bora zaidi kwake, kwaajili ya kuilinda heshma yake, na kujiweka mbali na sababu za fitna* *ูู ุชู ุฌุงุฒ ููุง ุงูุนู ูุ ูููุง ุฃู ุชุณุงุนุฏ ูู ุงูุฅููุงู ุนูู ุงูุจูุช.* *na muda ambao itafaa kwake kufanya kazi, basi jukumu lake kumsaidia mumewe kwa matumizi ya nyumbani* *ูููุณ ููุฒูุฌ ุฃู ูุฌุจุฑูุง ุนูู ุงูุนู ูุ ุฃู ุนูู ุงููููุฉ ุนูู ุงูุจูุชุ* *na haitofaa kwa mume kumlazimisha mkewe juu ya kufanya kazi, au kumlazimisha juu ya kutoa matumizi ya nyumbani."* *โช๐โซ ุงูู ุตูููููุฏูุฑู: โช ุงููุชูู: 175825. ูุงูุธุฑ ุฃูุถุง ุงููุชุงูู: 28006ุ 75581ุ 53828ุ 445978.โซ* โโโโโโ โโฟโ โโโโโโ *๐ โ๏ธ Abou hudaa Al-jaziiriyyi ุญูุธููููููููููู ุงููููููููููููู ุชุนุงูููููููููููู ูุฑุนููููููููููุงู๐* *๐นMafunzo sahihi ya ndoa๐น* *๐กSubscribe my WhatsApp channel* *https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R* *๐ฝJiunge na group la mafunzo sahihi ya ndoa* *https://chat.whatsapp.com/FW4aG9M68ruLjzC53NoNab* *๐ฝHii ni channel maalum ya telegram kwajili ya mafunzo sahihi ya ndoa tu gusa link hii hapa chini ili kujiunga* *https://t.me/Mafunzo_sahihi_ya_ndoa* *VUNA THAWABU KWA KUSAMBAZA KWA WENGINE๐* *๐Kuwa muadilifu usibadili chochote* *๐นMafunzo sahihi ya ndoa๐น*
                                    
                                *https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R* *๐น๐นNI WAJIBU KUOGA KWA MAMBO HAYA MAWILI* Darsa namba (1) *ูุฃู ุง ุงูุงุบุชุณุงู ูุฅูู ูุฌุจ ูู ุญุงูุชูู :* *๐wanasema ulamaa wa lajna: Ima kuoga hakika yake ni wajibu kwa moja katika hali hizi mbili:* *ุงูุฃููู : ุฅุฐุง ุญุตู ุงูุฌู ุงุน ุจุฃู ุบูุจ ุงูุฑุฌู ูู ุงูุญุดูุฉ ( ุฃู ุฑุฃุณ ุงูุฐูุฑ ) ูู ูุฑุฌ ุงูู ุฑุฃุฉ ููู ูู ูููุฒู .* *๐Jambo la kwanza: pindi ikitokea jimai kwa kuzamisha mume dhakari yake (kichwa cha dhakari yake) katika tupu ya mkewe hatakama manii hayaja teremka.* *ููุฌุจ ุงูุบุณู ุนูู ุงูุฑุฌู ูุงูู ุฑุฃุฉ ูููู ุงููุจู ุตูู ุงููู ุนููู ูุณูู "* *Ni wajibu kuoga mume na mke kwa kauli yake mtume (swala na salam ziwe juu yake)* *ุฅูุฐูุง ุฌูููุณู ุจููููู ุดูุนูุจูููุง ุงููุฃูุฑูุจูุนู ููู ูุณูู ุงููุฎูุชูุงูู ุงููุฎูุชูุงูู ููููุฏู ููุฌูุจู ุงููุบูุณููู "* *Pindi mume akikaa baina ya matawi yake (mkewe) manne (akikaa juu yake kwa lengo la kufanya jimai) na zikagusana tupu mbili (kwa kuingia tupu ya mume kwa mkewe) basi hakika imekuwa wajibu (kwao)kuoga* *ุฑูุงู ุงูุจุฎุงุฑู ( 291 ) ูู ุณูู ( 349 ) . ููู ุฑูุงูุฉ ูู ุณูู ( ูุฅู ูู ููุฒู )* *Kaipokea imam bukhary (291) na muslim (349). na katika riwaya ya imam musllim, hatakama manii hayakutoka basi wajibu kuoga."* *Fatilia darsa inayo fata........๐* *โช๐โซ ุงูู ุตูููููุฏูุฑู: โช ูุชุงูู ุงููุฌูุฉ ุงูุฏุงุฆู ุฉ ุู ุงูุดูุฎ ุงุจู ุนุซูู ูู ูู ูุชุงุจ ูุชุงูู ุงูุนูู ุงุก ูู ุนุดุฑุฉ ุงููุณุงุก ( 36 ุ 42) ู ูุชุงูู ู ูุงุฑ ุงูุฅุณูุงู (1/110 โซ* โโโโโโ โโฟโ โโโโโโ *๐ โ๏ธ Abou hudaa Al-jaziiriyyi ุญูุธููููููููููู ุงููููููููููููู ุชุนุงูููููููููููู ูุฑุนููููููููููุงู๐* *๐นMafunzo sahihi ya ndoa๐น* *๐กSubscribe my WhatsApp channel* *https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R* *๐ฝJiunge na group la mafunzo sahihi ya ndoa* *https://chat.whatsapp.com/FW4aG9M68ruLjzC53NoNab* *๐ฝHii ni channel maalum ya telegram kwajili ya mafunzo sahihi ya ndoa tu gusa link hii hapa chini ili kujiunga* *https://t.me/Mafunzo_sahihi_ya_ndoa* *VUNA THAWABU KWA KUSAMBAZA KWA WENGINE๐* *๐Kuwa muadilifu usibadili chochote* *๐นMafunzo sahihi ya ndoa๐น*
                                    
                                *https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R* *๐น๐นNI WAJIBU KUOGA KWA MAMBO HAYA MAWILI* Darsa namba (2) *ูุฃู ุง ุงูุงุบุชุณุงู ูุฅูู ูุฌุจ ูู ุญุงูุชูู :* *๐wanasema ulamaa wa lajna: Ima kuoga hakika yake ni wajibu kwa moja katika hali hizi mbili:* *ุงูุซุงููุฉ : ุฃู ููุฒู ุงูู ูู ู ู ุบูุฑ ุฌู ุงุน ุ ูุฅุฐุง ุฃูุฒู ุงูุฑุฌู ุฃู ุงูู ุฑุฃุฉ ูุฌุจ ุนูููู ุง ุงูุบุณู ุ* *Jambo la pili (linalo wajibisha kuoga): ni kuteremka manii bila ya kufanya tendo la ndoa, pindi manii yakiteremka kwa mwanaume au mwanamke ni wajibu kuoga* *ูุฅุฐุง ุฃูุฒู ุงูุฑุฌู ุฏูู ุงูู ุฑุฃุฉ ุฃู ุงูู ุฑุฃุฉ ุฏูู ุงูุฑุฌู ูุฌุจ ุงูุบุณู ุนูู ู ู ุฃูุฒู ู ููู ุง* *Na pindi Mume yakimtoka manii bila ya Mke au Mke yakamtoka manii bila ya Mume basi ni wajibu kuoga kwa yule yalomtoka manii* *ูููู ุงููู ุชุนุงูู : ( ูุฅู ููุชู ุฌูุจุงู ูุงุทูุฑูุง ) ุงูู ุงุฆุฏุฉ/6* *๐๏ธKwa kuli yake Allah mtukufu: na pindi mukiwa na janaba basi jitwaharisheni. Suuratul maida (6)* *ูุงูุบุณู ูุฌุจ ุจุงูุฅูุฒุงู ูุญุฏู ูุฅู ูู ูุญุตู ุฌู ุงุน ุ* *Basi kuoga ni wajibu kwa kuteremka manii peke yake hatakama hapaja patikana tendo la ndoa* *ููุฌุจ ุจุงูุฌู ุงุน ูุญุฏู ูุฅู ูู ูุญุฏุซ ุฅูุฒุงู ุ ููุฌุจ ุจูู ุง ุฌู ูุนุง .ูุจุงููู ุงูุชูููู .* *Na wajibu (kuoga) kwa kufanya tendo la ndoa peke yake hatakama manii hayaja teremka, ni wajibu wawili hao kuoga."* *โช๐โซ ุงูู ุตูููููุฏูุฑู: โช ูุชุงูู ุงููุฌูุฉ ุงูุฏุงุฆู ุฉ ุู ุงูุดูุฎ ุงุจู ุนุซูู ูู ูู ูุชุงุจ ูุชุงูู ุงูุนูู ุงุก ูู ุนุดุฑุฉ ุงููุณุงุก ( 36 ุ 42) ู ูุชุงูู ู ูุงุฑ ุงูุฅุณูุงู (1/110 โซ* โโโโโโ โโฟโ โโโโโโ *๐ โ๏ธ Abou hudaa Al-jaziiriyyi ุญูุธููููููููููู ุงููููููููููููู ุชุนุงูููููููููููู ูุฑุนููููููููููุงู๐* *๐นMafunzo sahihi ya ndoa๐น* *๐กSubscribe my WhatsApp channel* *https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R* *๐ฝJiunge na group la mafunzo sahihi ya ndoa* *https://chat.whatsapp.com/FW4aG9M68ruLjzC53NoNab* *๐ฝHii ni channel maalum ya telegram kwajili ya mafunzo sahihi ya ndoa tu gusa link hii hapa chini ili kujiunga* *https://t.me/Mafunzo_sahihi_ya_ndoa* *VUNA THAWABU KWA KUSAMBAZA KWA WENGINE๐* *๐Kuwa muadilifu usibadili chochote* *๐นMafunzo sahihi ya ndoa๐น*
                                    
                                https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R *๐น๐นJE NI WAJIBU KUOSHA KITANDA WAKATI WA KULOWANA KUTOKA NA TENDO LA NDOAโ* Darsa namba (2) *ูู ูุฌุจ ุบุณู ุงููุฑุงุด ุนูุฏ ุชูููุซู ู ู ุฃุซุฑ ุงูุฌู ุงุน ุงูุณุคุงู:* *๐Je ni wajibu kukisafisha kitanda wakati kikilowana kwa sababu ya yendo la ndoa?* *๐Jawabu kutoka kwa Al-Allaamah imam Abdul Aziiz bin baazi (rahimahullah)* *ูุฅู ูุงู ุงูุฐู ุฃุตุงุจ ุงููุฑุงุด ู ุฐูุงู ุฃู ุบูุฑู ู ู ุงูุฅูุฑุงุฒุงุช ุงูุชู ุชุฎุฑุฌ ู ู ูุฑุฌ ุงูุฑุฌู ุฃู ุงูู ุฑุฃุฉ* *Pindi kikiwa kile kilicho tapakaa kwenye kitanda ni madhii au kitu kingine katika maji maji ambayo hutoka katika utupu wa mume au mke* *ููุฌุจ ุบุณู ุงูุจูุนุฉ ุงูุชู ุฃุตุงุจูุง ุฐูู ุงูุณุงุฆู ููุท ูุฃู ูุฐู ุงูุฅูุฑุงุฒุงุช ุชุนุชุจุฑ ูุฌุณุฉ .* *Basi wajibu kuosha baki ya hayo maji maji ambayo wametapakaa kitandani kwa sababu ya jimai, kwani hakika ya haya maji maji huzingatiwa najisi."* *โช๐โซ ุงูู ุตูููููุฏูุฑู: โช ูุชุงูู ุงููุฌูุฉ ุงูุฏุงุฆู ุฉ ุู ุงูุดูุฎ ุงุจู ุนุซูู ูู ูู ูุชุงุจ ูุชุงูู ุงูุนูู ุงุก ูู ุนุดุฑุฉ ุงููุณุงุก ( 36 ุ 42) ู ูุชุงูู ู ูุงุฑ ุงูุฅุณูุงู (1/110 โซ* โโโโโโ โโฟโ โโโโโโ *๐ โ๏ธ Abou hudaa Al-jaziiriyyi ุญูุธููููููููููู ุงููููููููููููู ุชุนุงูููููููููููู ูุฑุนููููููููููุงู๐* *๐นMafunzo sahihi ya ndoa๐น* *๐กSubscribe my WhatsApp channel* *https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R* *๐ฝJiunge na group la mafunzo sahihi ya ndoa* *https://chat.whatsapp.com/FW4aG9M68ruLjzC53NoNab* *๐ฝHii ni channel maalum ya telegram kwajili ya mafunzo sahihi ya ndoa tu gusa link hii hapa chini ili kujiunga* *https://t.me/Mafunzo_sahihi_ya_ndoa* *VUNA THAWABU KWA KUSAMBAZA KWA WENGINE๐* *๐Kuwa muadilifu usibadili chochote* *๐นMafunzo sahihi ya ndoa๐น*
                                    
                                https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R *๐น๐นHUKMU YA KUKATAA KUOLEWA KWA SABABU YA MASOMO AU KAZI* Darsa namba (3) *ูุงู ุงูุนูุงู ุฉ ุฅู ุงู ุนุจุฏ ุงูุนุฒูุฒ ุจู ุจุงุฒ ุฑุญู ู ุงููู ุชุนุงูู* *โ๏ธAmesema Al-Allaama imam Abdul Aziiz bin baazi (rahimahullah)* *ูุฅุฐุง ูู ูุชูุณุฑ ุฐููุ ูุฃุจู ุงูุฒูุฌ ุฅูุง ุฃู ุชุชุฑู ุงูุฏุฑุงุณุฉุ ุฃู ุงูุชุฏุฑูุณุ ููุง ู ุงูุน ุฅุฐุง ูุงูุช ูุฏ ุฏุฑุณุช* *Ikiwa halikuwezekana hilo (kuolewa huku akiendelea na masomo) na mume akakataa isipokuwa mke huyo aache kusoma au kusomesha basi hakuna kizuizi (kuacha kusoma) kama alisoma* *ููุฏ ุญุตูุช ุฎูุฑูุง ูุซูุฑูุงุ ูุนุฑูุช ุฏูููุงุ ูุชุชุฒูุฌ.* *Kwani hakika yake kaipata kheri nyingi, na ameifahamu dini yake basi ataolewa* *ุซู ุจุนุฏ ูุฐุง ุชุดุชุบู ุจุงูู ุทุงูุนุฉ ูู ูุชุจ ู ููุฏุฉุ ูุงูุณุคุงู ุนู ุง ุฃุดูู ุนูููุงุ* *Kisha baada ya hapo atashughulika na kuvisoma vitamu muhimu, na kuuliza yale yanayo mtatiza* *ุฃู ูุณู ุญ ุฒูุฌูุง ุจุนุฏ ูุฐุง ุจุงูุฏุฑุงุณุฉ ุงูุชูู ูููุฉ ูู ุงูุฌุงู ุนุฉุ ูู ูุฐุง ู ู ูู.* *Au mumewe amruhusu kuendelea na masomo yake katika chuo kikuu baada ya hii. Yote haya yanawezekana."* *โช๐โซ ุงูู ุตูููููุฏูุฑู: โช ูุชุงูู ุงูุฌุงู ุน ุงููุจูุฑ ุญูู ู ู ูุญุฐุฑ ู ู ุชุฒููุฌ ู ู ุชุฒูุฌ ุจุฃูุซุฑ ู ู ูุงุญุฏุฉโซ* โโโโโโ โโฟโ โโโโโโ *๐ โ๏ธ Abou hudaa Al-jaziiriyyi ุญูุธููููููููููู ุงููููููููููููู ุชุนุงูููููููููููู ูุฑุนููููููููููุงู๐* *๐นMafunzo sahihi ya ndoa๐น* *๐กSubscribe my WhatsApp channel* *https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R* *๐ฝJiunge na group la mafunzo sahihi ya ndoa* *https://chat.whatsapp.com/FW4aG9M68ruLjzC53NoNab* *๐ฝHii ni channel maalum ya telegram kwajili ya mafunzo sahihi ya ndoa tu gusa link hii hapa chini ili kujiunga* *https://t.me/Mafunzo_sahihi_ya_ndoa* *VUNA THAWABU KWA KUSAMBAZA KWA WENGINE๐* *๐Kuwa muadilifu usibadili chochote* *๐นMafunzo sahihi ya ndoa๐น*
                                    
                                https://chat.whatsapp.com/EwUMLuTfQfsBdzBn8ZxGJm *๐น๐นKATAZO LA KUUPINGA UKE WENZA* Darsa namba (3) *ูุงู ุงูุนูุงู ุฉ ุฅู ุงู ุนุจุฏ ุงูุนุฒูุฒ ุจู ุจุงุฒ ุฑุญู ู ุงููู ุชุนุงูู* *โ๏ธAmesema Al-Allaama imam Abdul Aziiz bin baazi (rahimahullah)* *ูุงูุฐูู ูุญุงุฑุจูู ุงูุชุนุฏุฏ ู ู ุงููุณุงุก ูุงูุฑุฌุงู ู ุตุงุฏู ูู ููุดุฑุนุ* *Wale ambao wanao upinga uke wenza katika wanawake na wanaume basi wanapingana na sharia ya Allah* *ููุฎุดู ุนูููู ู ู ุงูุงูุณูุงุฎ ู ู ุงูุฏูู -ูุนูุฐ ุจุงููู- ูุฎุดู ุนูููู ูู ูุฐุง ุงูุฃู ุฑ ุฃู ูููููุง ู ูุณูุฎูู ู ู ุฏูู ุงููู ููุฑุงูุชูู ู ุง ุดุฑุน ุงูููุ* *Na inahofiwa kwao kuiacha dini, tunajilinda kwa Allah na hilo, inahofiwa kwao kwa jambo hili (kuupinga uke wenza) kuiacha dini kwa kuchukia kwao kile alicho kiwekea sharia Allah* *ููุฏุนูุงูู ุฃู ุฐูู ูุถุฑ ุงูู ุฌุชู ุนุ ุฃู ุบูุฑ ุฐูู ู ู ุง ูุฏุนููุ* *Na kwa madai yao hakika ya jambo hilo (uke wenza) linadhuru dini, au kwa yasiyo kuwa hayo katika yale wanayo yadai* *ูุฃูุง ุฃุฎุดู ุนูู ูุคูุงุก ุฃู ูุฑุชุฏูุง ุนู ุฏูููู ุ ููู ูุง ูุดุนุฑููุ* *Basi Mimi ninachelea kwa watu wa aina hii kuritadi katika dini yao, haliyakuwa wao wenyewe hawahisi (kama wameritadi katika dini)* *ูุฃููู ูุถุงุฏูู ุดุฑุน ุงูููุ ููุถุงุฏูู ูุชุงุจ ุงูููุ ููุถุงุฏูู ุฑุณูู ุงูููุ ูุฐุง ู ููุฑ ุนุธูู .* *Kwani hakika yao wanaipinga sharia ya Allah, na wanakipinga kitabu cha Allah na wanampinga mtume (swala na salaam ziwe juu yake)."* *โช๐โซ ุงูู ุตูููููุฏูุฑู: โช ูุชุงูู ุงูุฌุงู ุน ุงููุจูุฑ ุญูู ู ู ูุญุฐุฑ ู ู ุชุฒููุฌ ู ู ุชุฒูุฌ ุจุฃูุซุฑ ู ู ูุงุญุฏุฉโซ* โโโโโโ โโฟโ โโโโโโ *๐ โ๏ธ Abou hudaa Al-jaziiriyyi ุญูุธููููููููููู ุงููููููููููููู ุชุนุงูููููููููููู ูุฑุนููููููููููุงู๐* *๐นMafunzo sahihi ya ndoa๐น* *๐กSubscribe my WhatsApp channel* *https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R* *๐ฝJiunge na group la mafunzo sahihi ya ndoa* *https://chat.whatsapp.com/FW4aG9M68ruLjzC53NoNab* *๐ฝHii ni channel maalum ya telegram kwajili ya mafunzo sahihi ya ndoa tu gusa link hii hapa chini ili kujiunga* *https://t.me/Mafunzo_sahihi_ya_ndoa* *VUNA THAWABU KWA KUSAMBAZA KWA WENGINE๐* *๐Kuwa muadilifu usibadili chochote* *๐นMafunzo sahihi ya ndoa๐น*