*🌹🌹Mafunzo sahihi ya ndoa*
May 29, 2025 at 12:00 PM
https://chat.whatsapp.com/KCEtpPr30Pe2ITusmI8Gs9
*🌹🌹KATAZO LA KUUPINGA UKE WENZA* Darsa namba (2)
*قال العلامة إمام عبد العزيز بن باز رحمه الله تعالى*
*✍️Amesema Al-Allaama imam Abdul Aziiz bin baazi (rahimahullah)*
*هذا الذي قام به بعض الناس أكبر من مسألة تحديد النسل، هذه مضادة لشرع الله،*
*Hili ambalo wamesimama nalo baadhi ya watu (kuupinga uke wenza) ni kubwa zaidi kuliko mas'ala kudhibiti uzazi, jambo hilo (kuupinga uke wenza) ni kwenda kinyume na sharia ya Allah*
*الذين يحذرون من تزويج من تزوج أكثر من واحدة، هؤلاء مصادمون لشرع الله،*
*Wale ambao wanao tahadharisha kuoa, kuoa zaidi ya mke mmoja, watu hawa wanaipinga sharia ya Allah*
*وأمرهم منكر -نسأل الله العافية- هؤلاء ضد النبي -عليه الصلاة والسلام- وضد القرآن،*
*Na jambo hili ni baya, tunamuomba Allah afya na salama, hawa wamekwenda kinyume na mtume (swala na salam ziwe juu yake) na wamekwenda kinyume na Qur'an*
*فالله -جل وعلا- أباح لنا نكاح الثنتين، والثلاث، والأربع،*
*Basi Allah ametuhalalishia sisi kuoa wake wawili, na watatu, na wanne,*
*والرسول ﷺ أباح ذلك، وتزوج -عليه الصلاة والسلام- عدة من النساء، عليه الصلاة والسلام.*
*Na mtume (swala na salam ziwe juu yake) kahalalalisha jambo hilo, na ameoa mtume (swala na salam ziwe juu yake) wake wengi."*
*❪📚❫ المصْــــدَرُ: ❪ فتاوى الجامع الكبير حكم من يحذر من تزويج من تزوج بأكثر من واحدة❫*
══════ ❁✿❁ ══════
*📓 ✍️ Abou hudaa Al-jaziiriyyi حفظــــــــــه اللــــــــــه تعالــــــــــى ورعــــــــــاه📖*
*🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹*
*📡Subscribe my WhatsApp channel*
*https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R*
*🔽Jiunge na group la mafunzo sahihi ya ndoa*
*https://chat.whatsapp.com/FW4aG9M68ruLjzC53NoNab*
*🔽Hii ni channel maalum ya telegram kwajili ya mafunzo sahihi ya ndoa tu gusa link hii hapa chini ili kujiunga*
*https://t.me/Mafunzo_sahihi_ya_ndoa*
*VUNA THAWABU KWA KUSAMBAZA KWA WENGINE👌*
*💉Kuwa muadilifu usibadili chochote*
*🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹*
❤️
😂
🙏
👍
😢
8