*🌹🌹Mafunzo sahihi ya ndoa*
*🌹🌹Mafunzo sahihi ya ndoa*
May 29, 2025 at 12:00 PM
https://chat.whatsapp.com/KCEtpPr30Pe2ITusmI8Gs9 *🌹🌹KATAZO LA KUUPINGA UKE WENZA* Darsa namba (2) *قال العلامة إمام عبد العزيز بن باز رحمه الله تعالى* *✍️Amesema Al-Allaama imam Abdul Aziiz bin baazi (rahimahullah)* *هذا الذي قام به بعض الناس أكبر من مسألة تحديد النسل، هذه مضادة لشرع الله،* *Hili ambalo wamesimama nalo baadhi ya watu (kuupinga uke wenza) ni kubwa zaidi kuliko mas'ala kudhibiti uzazi, jambo hilo (kuupinga uke wenza) ni kwenda kinyume na sharia ya Allah* *الذين يحذرون من تزويج من تزوج أكثر من واحدة، هؤلاء مصادمون لشرع الله،* *Wale ambao wanao tahadharisha kuoa, kuoa zaidi ya mke mmoja, watu hawa wanaipinga sharia ya Allah* *وأمرهم منكر -نسأل الله العافية- هؤلاء ضد النبي -عليه الصلاة والسلام- وضد القرآن،* *Na jambo hili ni baya, tunamuomba Allah afya na salama, hawa wamekwenda kinyume na mtume (swala na salam ziwe juu yake) na wamekwenda kinyume na Qur'an* *فالله -جل وعلا- أباح لنا نكاح الثنتين، والثلاث، والأربع،* *Basi Allah ametuhalalishia sisi kuoa wake wawili, na watatu, na wanne,* *والرسول ﷺ أباح ذلك، وتزوج -عليه الصلاة والسلام- عدة من النساء، عليه الصلاة والسلام.* *Na mtume (swala na salam ziwe juu yake) kahalalalisha jambo hilo, na ameoa mtume (swala na salam ziwe juu yake) wake wengi."* *❪📚❫ المصْــــدَرُ: ❪ فتاوى الجامع الكبير حكم من يحذر من تزويج من تزوج بأكثر من واحدة❫* ══════ ❁✿❁ ══════ *📓 ✍️ Abou hudaa Al-jaziiriyyi حفظــــــــــه اللــــــــــه تعالــــــــــى ورعــــــــــاه📖* *🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹* *📡Subscribe my WhatsApp channel* *https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R* *🔽Jiunge na group la mafunzo sahihi ya ndoa* *https://chat.whatsapp.com/FW4aG9M68ruLjzC53NoNab* *🔽Hii ni channel maalum ya telegram kwajili ya mafunzo sahihi ya ndoa tu gusa link hii hapa chini ili kujiunga* *https://t.me/Mafunzo_sahihi_ya_ndoa* *VUNA THAWABU KWA KUSAMBAZA KWA WENGINE👌* *💉Kuwa muadilifu usibadili chochote* *🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹*
❤️ 😂 🙏 👍 😢 8

Comments