
*🌹🌹Mafunzo sahihi ya ndoa*
June 1, 2025 at 03:22 PM
https://chat.whatsapp.com/EwUMLuTfQfsBdzBn8ZxGJm
*🌹🌹KATAZO LA KUUPINGA UKE WENZA* Darsa namba (3)
*قال العلامة إمام عبد العزيز بن باز رحمه الله تعالى*
*✍️Amesema Al-Allaama imam Abdul Aziiz bin baazi (rahimahullah)*
*فالذين يحاربون التعدد من النساء والرجال مصادمون للشرع،*
*Wale ambao wanao upinga uke wenza katika wanawake na wanaume basi wanapingana na sharia ya Allah*
*ويخشى عليهم من الانسلاخ من الدين -نعوذ بالله- يخشى عليهم في هذا الأمر أن يكونوا منسلخين من دين الله لكراهتهم ما شرع الله،*
*Na inahofiwa kwao kuiacha dini, tunajilinda kwa Allah na hilo, inahofiwa kwao kwa jambo hili (kuupinga uke wenza) kuiacha dini kwa kuchukia kwao kile alicho kiwekea sharia Allah*
*ولدعواهم أن ذلك يضر المجتمع، أو غير ذلك مما يدعون،*
*Na kwa madai yao hakika ya jambo hilo (uke wenza) linadhuru dini, au kwa yasiyo kuwa hayo katika yale wanayo yadai*
*فأنا أخشى على هؤلاء أن يرتدوا عن دينهم، وهم لا يشعرون؛*
*Basi Mimi ninachelea kwa watu wa aina hii kuritadi katika dini yao, haliyakuwa wao wenyewe hawahisi (kama wameritadi katika dini)*
*لأنهم يضادون شرع الله، ويضادون كتاب الله، ويضادون رسول الله، هذا منكر عظيم.*
*Kwani hakika yao wanaipinga sharia ya Allah, na wanakipinga kitabu cha Allah na wanampinga mtume (swala na salaam ziwe juu yake)."*
*❪📚❫ المصْــــدَرُ: ❪ فتاوى الجامع الكبير حكم من يحذر من تزويج من تزوج بأكثر من واحدة❫*
══════ ❁✿❁ ══════
*📓 ✍️ Abou hudaa Al-jaziiriyyi حفظــــــــــه اللــــــــــه تعالــــــــــى ورعــــــــــاه📖*
*🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹*
*📡Subscribe my WhatsApp channel*
*https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R*
*🔽Jiunge na group la mafunzo sahihi ya ndoa*
*https://chat.whatsapp.com/FW4aG9M68ruLjzC53NoNab*
*🔽Hii ni channel maalum ya telegram kwajili ya mafunzo sahihi ya ndoa tu gusa link hii hapa chini ili kujiunga*
*https://t.me/Mafunzo_sahihi_ya_ndoa*
*VUNA THAWABU KWA KUSAMBAZA KWA WENGINE👌*
*💉Kuwa muadilifu usibadili chochote*
*🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹*
❤️
🙏
❤
👍
13