*🌹🌹Mafunzo sahihi ya ndoa*
*🌹🌹Mafunzo sahihi ya ndoa*
June 1, 2025 at 03:22 PM
https://chat.whatsapp.com/EwUMLuTfQfsBdzBn8ZxGJm *🌹🌹KATAZO LA KUUPINGA UKE WENZA* Darsa namba (3) *قال العلامة إمام عبد العزيز بن باز رحمه الله تعالى* *✍️Amesema Al-Allaama imam Abdul Aziiz bin baazi (rahimahullah)* *فالذين يحاربون التعدد من النساء والرجال مصادمون للشرع،* *Wale ambao wanao upinga uke wenza katika wanawake na wanaume basi wanapingana na sharia ya Allah* *ويخشى عليهم من الانسلاخ من الدين -نعوذ بالله- يخشى عليهم في هذا الأمر أن يكونوا منسلخين من دين الله لكراهتهم ما شرع الله،* *Na inahofiwa kwao kuiacha dini, tunajilinda kwa Allah na hilo, inahofiwa kwao kwa jambo hili (kuupinga uke wenza) kuiacha dini kwa kuchukia kwao kile alicho kiwekea sharia Allah* *ولدعواهم أن ذلك يضر المجتمع، أو غير ذلك مما يدعون،* *Na kwa madai yao hakika ya jambo hilo (uke wenza) linadhuru dini, au kwa yasiyo kuwa hayo katika yale wanayo yadai* *فأنا أخشى على هؤلاء أن يرتدوا عن دينهم، وهم لا يشعرون؛* *Basi Mimi ninachelea kwa watu wa aina hii kuritadi katika dini yao, haliyakuwa wao wenyewe hawahisi (kama wameritadi katika dini)* *لأنهم يضادون شرع الله، ويضادون كتاب الله، ويضادون رسول الله، هذا منكر عظيم.* *Kwani hakika yao wanaipinga sharia ya Allah, na wanakipinga kitabu cha Allah na wanampinga mtume (swala na salaam ziwe juu yake)."* *❪📚❫ المصْــــدَرُ: ❪ فتاوى الجامع الكبير حكم من يحذر من تزويج من تزوج بأكثر من واحدة❫* ══════ ❁✿❁ ══════ *📓 ✍️ Abou hudaa Al-jaziiriyyi حفظــــــــــه اللــــــــــه تعالــــــــــى ورعــــــــــاه📖* *🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹* *📡Subscribe my WhatsApp channel* *https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R* *🔽Jiunge na group la mafunzo sahihi ya ndoa* *https://chat.whatsapp.com/FW4aG9M68ruLjzC53NoNab* *🔽Hii ni channel maalum ya telegram kwajili ya mafunzo sahihi ya ndoa tu gusa link hii hapa chini ili kujiunga* *https://t.me/Mafunzo_sahihi_ya_ndoa* *VUNA THAWABU KWA KUSAMBAZA KWA WENGINE👌* *💉Kuwa muadilifu usibadili chochote* *🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹*
❤️ 🙏 👍 13

Comments