*🌹🌹Mafunzo sahihi ya ndoa*
*🌹🌹Mafunzo sahihi ya ndoa*
June 6, 2025 at 02:55 PM
https://chat.whatsapp.com/KesmKGWw58z5X5pW7HYbMy *🌹🌹KATAZO LA KUUPINGA UKE WENZA* Darsa namba (4) *قال العلامة إمام عبد العزيز بن باز رحمه الله تعالى* *✍️Amesema Al-Allaama imam Abdul Aziiz bin baazi (rahimahullah)* *وإنما الواجب الدعوة إلى العدل، وأن إذا تزوج اثنتين، أو ثلاث يعدل، ويقوم بالواجب،* *Hakika jambo la wajibu ni kuwalingania watu juu ya kufanya uadilifu, pindi akioa wake wawili, au wake watatu atafanya uadilifu baina yao, na atasimamia mambo ya wajibu* *ولا ينبغي التعدد إذا كان يظلم النساء، ولا يعدل بينهن،* *Na wala haifai kuwa na mke zaidi ya mmoja pindi mume akiwa anawadhulumu wake zake (haki zao) na wala hafanyi uadilifu baina yao* *أما جنس النكاح بالثنتين، والثلاث، والأربع فأمر مشروع، ولا حرج فيه،* *Ima aina ya ndoa ya wake wawili au watatu au wake wanne basi jambo hilo limewekewa sharia, na wala hakuna ubaya katika hilo* *وعلى صاحبه أن يعدل، ويتحرى العدل في ذلك،* *Na juu ya mume afanye uadilifu, na afanye pupa kufanya uadilifu juu ya hilo* *وفيه كثرة الإعفاف للفروج، وكثرة النسل، وصيانة النساء، وعفة الرجال كل هذا أمر مطلوب.* *Ndani yake kuna kukithiri kuhifadhika, na kuwa kingi kizazi, na kupata ulinzi kwa wake, na kupata hifadhi wanaume, yote haya ni mambo yanayo takiwa."* *❪📚❫ المصْــــدَرُ: ❪ فتاوى الجامع الكبير حكم من يحذر من تزويج من تزوج بأكثر من واحدة❫* ══════ ❁✿❁ ══════ *📓 ✍️ Abou hudaa Al-jaziiriyyi حفظــــــــــه اللــــــــــه تعالــــــــــى ورعــــــــــاه📖* *🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹* *📡Subscribe my WhatsApp channel* *https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R* *🔽Jiunge na group la mafunzo sahihi ya ndoa* *https://chat.whatsapp.com/FW4aG9M68ruLjzC53NoNab* *🔽Hii ni channel maalum ya telegram kwajili ya mafunzo sahihi ya ndoa tu gusa link hii hapa chini ili kujiunga* *https://t.me/Mafunzo_sahihi_ya_ndoa* *VUNA THAWABU KWA KUSAMBAZA KWA WENGINE👌* *💉Kuwa muadilifu usibadili chochote* *🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹*
❤️ 👍 🙏 4

Comments