
*🌹🌹Mafunzo sahihi ya ndoa*
June 6, 2025 at 02:55 PM
https://chat.whatsapp.com/KesmKGWw58z5X5pW7HYbMy
*🌹🌹KATAZO LA KUUPINGA UKE WENZA* Darsa namba (4)
*قال العلامة إمام عبد العزيز بن باز رحمه الله تعالى*
*✍️Amesema Al-Allaama imam Abdul Aziiz bin baazi (rahimahullah)*
*وإنما الواجب الدعوة إلى العدل، وأن إذا تزوج اثنتين، أو ثلاث يعدل، ويقوم بالواجب،*
*Hakika jambo la wajibu ni kuwalingania watu juu ya kufanya uadilifu, pindi akioa wake wawili, au wake watatu atafanya uadilifu baina yao, na atasimamia mambo ya wajibu*
*ولا ينبغي التعدد إذا كان يظلم النساء، ولا يعدل بينهن،*
*Na wala haifai kuwa na mke zaidi ya mmoja pindi mume akiwa anawadhulumu wake zake (haki zao) na wala hafanyi uadilifu baina yao*
*أما جنس النكاح بالثنتين، والثلاث، والأربع فأمر مشروع، ولا حرج فيه،*
*Ima aina ya ndoa ya wake wawili au watatu au wake wanne basi jambo hilo limewekewa sharia, na wala hakuna ubaya katika hilo*
*وعلى صاحبه أن يعدل، ويتحرى العدل في ذلك،*
*Na juu ya mume afanye uadilifu, na afanye pupa kufanya uadilifu juu ya hilo*
*وفيه كثرة الإعفاف للفروج، وكثرة النسل، وصيانة النساء، وعفة الرجال كل هذا أمر مطلوب.*
*Ndani yake kuna kukithiri kuhifadhika, na kuwa kingi kizazi, na kupata ulinzi kwa wake, na kupata hifadhi wanaume, yote haya ni mambo yanayo takiwa."*
*❪📚❫ المصْــــدَرُ: ❪ فتاوى الجامع الكبير حكم من يحذر من تزويج من تزوج بأكثر من واحدة❫*
══════ ❁✿❁ ══════
*📓 ✍️ Abou hudaa Al-jaziiriyyi حفظــــــــــه اللــــــــــه تعالــــــــــى ورعــــــــــاه📖*
*🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹*
*📡Subscribe my WhatsApp channel*
*https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R*
*🔽Jiunge na group la mafunzo sahihi ya ndoa*
*https://chat.whatsapp.com/FW4aG9M68ruLjzC53NoNab*
*🔽Hii ni channel maalum ya telegram kwajili ya mafunzo sahihi ya ndoa tu gusa link hii hapa chini ili kujiunga*
*https://t.me/Mafunzo_sahihi_ya_ndoa*
*VUNA THAWABU KWA KUSAMBAZA KWA WENGINE👌*
*💉Kuwa muadilifu usibadili chochote*
*🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹*
❤️
👍
🙏
4