
*🌹🌹Mafunzo sahihi ya ndoa*
June 7, 2025 at 07:13 AM
https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R
*🌹🌹HUKMU YA KUKATAA KUOLEWA KWA SABABU YA MASOMO AU KAZI* Darsa namba (1)
*قال العلامة إمام عبد العزيز بن باز رحمه الله تعالى*
*✍️Amesema Al-Allaama imam Abdul Aziiz bin baazi (rahimahullah)*
*وكذلك بعض النساء ابتلين أيضًا بالزهد في الزواج، والتعذر عن قبول النكاح بسبب الوظائف،والتدريس، والدراسة، وهذا غلط منهن، هذا غلط،*
*Na pia baadhi ya wanawake wametihaniwa kuchukia kueolewa, na kutoa udhuru kuto kukubali ndoa kwa sababu ya kazi zao na kufundisha na kusoma, haya ni makosa yao na jambo hili sio sawa*
*فإن المطلوب من الدراسة أن تعرف دينها، وأن تفقه دينها،*
*Kwani hakika kinacho takiwa katika kosoma ni kuijuwa dini yake, na apate elimu katika dini yake*
*وعليها أن تتزوج، وتعف نفسها، وتعف غيرها، وإذا استمرت الدراسة؛ فلا بأس، أو التدريس، وإن لم يتيسر ذلك؛ فلا بأس.*
*Basi lazima juu yake kuolewa, na aijuwe nafsi yake, anawajuwe na wengine na huku akiendelea na kusoma, basi hakuna shida katika hilo, au kusomesha, na kama halikuwa jepesi kwake jambo hilo (kuolewa) basi hakuna shida."*
*❪📚❫ المصْــــدَرُ: ❪ فتاوى الجامع الكبير حكم من يحذر من تزويج من تزوج بأكثر من واحدة❫*
══════ ❁✿❁ ══════
*📓 ✍️ Abou hudaa Al-jaziiriyyi حفظــــــــــه اللــــــــــه تعالــــــــــى ورعــــــــــاه📖*
*🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹*
*📡Subscribe my WhatsApp channel*
*https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R*
*🔽Jiunge na group la mafunzo sahihi ya ndoa*
*https://chat.whatsapp.com/FW4aG9M68ruLjzC53NoNab*
*🔽Hii ni channel maalum ya telegram kwajili ya mafunzo sahihi ya ndoa tu gusa link hii hapa chini ili kujiunga*
*https://t.me/Mafunzo_sahihi_ya_ndoa*
*VUNA THAWABU KWA KUSAMBAZA KWA WENGINE👌*
*💉Kuwa muadilifu usibadili chochote*
*🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹*
👍
😢
🙏
4