*🌹🌹Mafunzo sahihi ya ndoa*
*🌹🌹Mafunzo sahihi ya ndoa*
June 7, 2025 at 07:18 AM
https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R *🌹🌹HUKMU YA KUKATAA KUOLEWA KWA SABABU YA MASOMO AU KAZI* Darsa namba (2) *قال العلامة إمام عبد العزيز بن باز رحمه الله تعالى* *✍️Amesema Al-Allaama imam Abdul Aziiz bin baazi (rahimahullah)* *ولا ينبغي أن تؤجل الزواج إلى بعد الجامعة، أو إلى وقت غير محدود؛* *Na wala haifai kuchelewesha kuolewa mpaka ufike chuo kikuu, au wakati maalumu (kama wanavyo fanya baadhi ya watu)* *Wakasema Mimi nitaolewa nikifika miaka 30 au 35 au nikipata kazi* *لأنها في حاجة إلى الوظيفة، في حاجة إلى كذا،* *Hakika yake anahitaji cheo fulani, au ana mahitajio ya haja fulani...* *ينبغي لأهلها أن يتعاونوا معها على التزويج،* *Inatakikana watu wake wa karibu wasaidiane nae kumshauri juu ya kuolewa kwake* *وربما يكون الزوج موافقًا على بقائها في الدراسة، أو في التدريس؛* *Na hwenda ikawa ndoa likaenda sambamba na yeye katika kubakia katika kusoma au kusomesha* *فتحصل مصلحتان: الزواج والدراسة، الزواج والتدريس.* *Akapata maslahi mawili: maslahi ya kuolewa na kupata masomo, au kuolewa na kusomesha."* *❪📚❫ المصْــــدَرُ: ❪ فتاوى الجامع الكبير حكم من يحذر من تزويج من تزوج بأكثر من واحدة❫* ══════ ❁✿❁ ══════ *📓 ✍️ Abou hudaa Al-jaziiriyyi حفظــــــــــه اللــــــــــه تعالــــــــــى ورعــــــــــاه📖* *🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹* *📡Subscribe my WhatsApp channel* *https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R* *🔽Jiunge na group la mafunzo sahihi ya ndoa* *https://chat.whatsapp.com/FW4aG9M68ruLjzC53NoNab* *🔽Hii ni channel maalum ya telegram kwajili ya mafunzo sahihi ya ndoa tu gusa link hii hapa chini ili kujiunga* *https://t.me/Mafunzo_sahihi_ya_ndoa* *VUNA THAWABU KWA KUSAMBAZA KWA WENGINE👌* *💉Kuwa muadilifu usibadili chochote* *🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹*
❤️ 😭 4

Comments