
*🌹🌹Mafunzo sahihi ya ndoa*
June 7, 2025 at 07:18 AM
https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R
*🌹🌹HUKMU YA KUKATAA KUOLEWA KWA SABABU YA MASOMO AU KAZI* Darsa namba (2)
*قال العلامة إمام عبد العزيز بن باز رحمه الله تعالى*
*✍️Amesema Al-Allaama imam Abdul Aziiz bin baazi (rahimahullah)*
*ولا ينبغي أن تؤجل الزواج إلى بعد الجامعة، أو إلى وقت غير محدود؛*
*Na wala haifai kuchelewesha kuolewa mpaka ufike chuo kikuu, au wakati maalumu (kama wanavyo fanya baadhi ya watu)*
*Wakasema Mimi nitaolewa nikifika miaka 30 au 35 au nikipata kazi*
*لأنها في حاجة إلى الوظيفة، في حاجة إلى كذا،*
*Hakika yake anahitaji cheo fulani, au ana mahitajio ya haja fulani...*
*ينبغي لأهلها أن يتعاونوا معها على التزويج،*
*Inatakikana watu wake wa karibu wasaidiane nae kumshauri juu ya kuolewa kwake*
*وربما يكون الزوج موافقًا على بقائها في الدراسة، أو في التدريس؛*
*Na hwenda ikawa ndoa likaenda sambamba na yeye katika kubakia katika kusoma au kusomesha*
*فتحصل مصلحتان: الزواج والدراسة، الزواج والتدريس.*
*Akapata maslahi mawili: maslahi ya kuolewa na kupata masomo, au kuolewa na kusomesha."*
*❪📚❫ المصْــــدَرُ: ❪ فتاوى الجامع الكبير حكم من يحذر من تزويج من تزوج بأكثر من واحدة❫*
══════ ❁✿❁ ══════
*📓 ✍️ Abou hudaa Al-jaziiriyyi حفظــــــــــه اللــــــــــه تعالــــــــــى ورعــــــــــاه📖*
*🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹*
*📡Subscribe my WhatsApp channel*
*https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R*
*🔽Jiunge na group la mafunzo sahihi ya ndoa*
*https://chat.whatsapp.com/FW4aG9M68ruLjzC53NoNab*
*🔽Hii ni channel maalum ya telegram kwajili ya mafunzo sahihi ya ndoa tu gusa link hii hapa chini ili kujiunga*
*https://t.me/Mafunzo_sahihi_ya_ndoa*
*VUNA THAWABU KWA KUSAMBAZA KWA WENGINE👌*
*💉Kuwa muadilifu usibadili chochote*
*🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹*
❤️
❤
😭
4