*🌹🌹Mafunzo sahihi ya ndoa*
*🌹🌹Mafunzo sahihi ya ndoa*
June 10, 2025 at 07:32 AM
*https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R* *🌹🌹 HUKMU YA MAJI MAJI YANAYO MTOKA MKE BAADA YA JIMAI* *سئل العلامة الألباني :* *📝Aliulizwa shekh Al-ban (rahimahullah)* - *ماحكم إفرازات المرأة بعد غسلها من الجماع ؟* *Ni ipi hukumu ya majimaji ya mwanamke yanayo mtoka baada ya kuoga kutoka katika tendo la ndoa?* *يخرج منها بقية سوائل الجماع فهل عليها إعادة الغسل والوضوء؟* *Yanatoka kwake (huyo mke) baki ya maji maji ya tendo la ndoa, je inampasa yeye kurejea kuoga?* *الجواب : لا شيئ عليها في ذلك مطلقا"* *Jawabu (la shekh Al-ban rahimahullah): hakuna chochote juu yake katika jambo hilo moja kwa moja (kwa maana hatorejea kuoga bali inamtosha yeye ghusl ya kwanza)."* *❪📚❫ المصْــــدَرُ: ❪فتاوي جدة 25❫* ══════ ❁✿❁ ══════ *📓 ✍️ Abou hudaa Al-jaziiriyyi حفظــــــــــه اللــــــــــه تعالــــــــــى ورعــــــــــاه📖* *🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹* *📡Subscribe my channel YouTube* *https://youtu.be/nLsmrT633wY* *🔽Jiunge na group la mafunzo sahihi ya ndoa* *https://chat.whatsapp.com/EwUMLuTfQfsBdzBn8ZxGJm* *🔽Hii ni channel maalum ya telegram kwajili ya mafunzo sahihi ya ndoa tu gusa link hii hapa chini ili kujiunga* *https://t.me/Mafunzo_sahihi_ya_ndoa* *VUNA THAWABU KWA KUSAMBAZA KWA WENGINE👌* *💉Kuwa muadilifu usibadili chochote* *🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹*
🙏 ❤️ 👍 7

Comments