
START TEK
June 7, 2025 at 08:38 PM
🔐 2. VPN ni nini? (Virtual Private Network)
VPN huficha IP address yako halisi na kuunganisha intaneti kupitia server nyingine, hivyo kutengeneza “tunnel” salama kati yako na mtandao.
✅ VPN maarufu:
NordVPN
ExpressVPN
Surfshark
ProtonVPN (free)
Psiphon (kwa simu)
🔸 Faida:
Huficha mahali ulipo (location spoofing)
Unapata access ya apps & websites zilizozuiliwa nchini
Huzuia ISP au hackers kuona unachofanya
Bora kwa kutumia public Wi-Fi (kama za migahawani)
🚫 Usidharau hatari hizi:
❗ Kutotumia Private Browser au VPN kunaweza kusababisha:
Akaunti zako kuibiwa (email, bank, WhatsApp)
Kupigwa hack kwa kutembelea links zenye spyware
Kutangaziwa kila kitu ulichotafuta mtandaoni
✅ TIPS MUHIMU:
Tumia VPN unapofanya malipo au ku-log in kwenye akaunti binafsi
Weka private mode ukitumia kompyuta au simu ya mtu mwingine
Epuka Wi-Fi za bure bila VPN
Usifungue link za ajabu hata kama umetumiwa na rafiki
🔔 Unahitaji msaada wa kusanidi VPN salama au browser bora ya faragha?
Tuandikie moja kwa moja. Tupo kwa ajili yako.
📩 [email protected]
#starttek | #cyberawareness | #digitalprivacy | #vpn | #privatebrowser