START TEK
START TEK
June 11, 2025 at 08:33 AM
FAIDA ZA LIPA NAMBA KWA MFANYABIASHARA. 1. Kutoa Pesa Bure kwa Wakala ✅. Hutalipa gharama yoyote unapotaka kutoa pesa kupitia wakala yeyote Tanzania nzima. 2. Kuondoa Usumbufu wa Chenji 💵. Mteja analipa kiasi kamili unachodai bila kutegemea chenji, biashara yako inakuwa ya uhakika na yenye weledi. 3. Kuongeza Ulinzi wa Hela 🔐. Ukishapokea malipo kupitia lipa namba, mteja hawezi kurudisha pesa kama ilivyo kwa laini za kawaida. 4. Kupunguza Hatari ya Chuma Ulete🚫. Kukosa pesa mkononi hupunguza uwezekano wa hasara za kishirikina kwenye biashara. 5. Kutuma Pesa Benki Bila Malipo 🏦. Unaweza kuhamisha pesa kwenda kwenye akaunti ya benki moja kwa moja bila gharama yoyote. 6. Kupokea Malipo Kutoka Mitandao Mbalimbali📲. Mteja wa mtandao wowote anaweza kukulipa kwa urahisi. 7. Kuzuia Hasara ya Kutembea na Pesa Cash 🛡. - Kupunguza hatari ya kuibiwa au kupoteza pesa ukiwa safarini. Elimu kwa Mfanyabiashara: Lipa namba ni mfumo salama wa kisasa unaokusaidia.
Image from START TEK: FAIDA ZA LIPA NAMBA KWA MFANYABIASHARA.  1. Kutoa Pesa Bure kwa Wakala...
💼 🤑 2

Comments