Ajira Tanzania
Ajira Tanzania
May 21, 2025 at 09:34 AM
*Tangazo la Ajira – BOL HR Consultants* Kwa niaba ya mteja wetu, BOL HR Consultants inatafuta waajiriwa kwa nafasi ifuatayo: 🔹 *Nafasi:* Matingo wa Malori (10) 🔹 *Elimu:* Kidato cha nne na kuendelea 🔹 *Mshahara:* TZS 200,000 🔹 *Eneo la kazi:* Dar es Salaam 📩 *Jinsi ya kutuma maombi:* Tuma barua yako ya maombi kupitia [email protected] 🔹 *Mwisho wa kutuma maombi:* 22/05/2025 🔹 *Kichwa cha barua:* Andika neno Tingo wa Lori

Comments