
Ajira Tanzania
June 10, 2025 at 06:40 PM
📣 Sisi kama timu ya Ajira AI tupo kwa ajili yenu!
Kila kipengele ndani ya app yetu kinatengenezwa kwa ajili yako – kijana wa Kitanzania unayetafuta ajira, fursa, na msaada wa kweli kwenye hii safari ya maisha.
Lakini hatuwezi kufanya kila kitu peke yetu – tunataka kusikia kutoka kwenu:
💬 Ungetamani tuongeze huduma gani kwenye app?
🤖 Ungependa AI ikusaidieje kwenye kutafuta ajira?
🔧 Kuna sehemu yoyote kwenye app inayokusumbua au ungetaka iboreshwe?
📝 Tujulishe kwa kujaza fomu hii fupi:
👉 https://forms.gle/KpNcjgMNbMnizgeY9
Sisi kama Ajira AI Team tunawasikiliza 100%. Maoni yenu ndiyo mwanga wetu – tunayachukulia kwa uzito mkubwa ili tuiboreshe app iwe bora zaidi na ikidhi mahitaji halisi ya vijana wa Tanzania.
Asanteni kwa kuendelea kuwa sehemu ya safari hii.
#ajiraai #tunakusikiliza #ajirakwavijana