
JamiiForums
June 8, 2025 at 02:12 PM
Mchungaji wa Kanisa la Waadventista wa Sabato Kinyerezi, Maotola John Lumbe amesema “Nitoe ushauri wa bure kwa Viongozi, Kiongozi yoyote usipopata mawazo kinzani, unaogopwa na haufanyi vizuri. Kiongozi ruhusu mawazo mbadala yaje, sasa hapa wale wanaojiita chawa hawatakuja kwako maana unaruhusu 'discussion'. Kiongozi lazima ukubali kukosolewa na uwe na uwezo mkubwa wa kuvumilia, kustahimili, kunyamaza kimya na kuongea kidogo"
Ameyasema hayo katika Ibada ya Sabato iliyofanyika Kanisa la Waadvintista Wasabato SDA Kinyerezi Juni 7, 2025
Soma https://jamii.app/KiongoziUweMvumilivu
❤️
👍
🙏
❤
🧠
🫡
✊
🔥
✅
👏
142