JamiiForums
June 12, 2025 at 06:10 AM
DODOMA: Msemaji Mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa, amesema mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025 utafadhiliwa kwa Fedha za ndani
Amesema hayo Juni 11, 2025
Soma https://jamii.app/MsigwaUchaguzi2025
😂
😮
👍
💯
🫣
23